Wakuu habari zenu,
Saa nyingine tunapotezea siasa lakini naona haikwepeki inatugusa kila mmoja, cost of living awamu ya 6 inazidi kupaa, leo naona kwenye bolt wametoa huduma ya Kurequest Gari ni mwendo wa boda na bajaji sasa wale wenye magari watafanya nini ndo ajira basi tena ina maana...
Wakuu habari,Tunauza Pallets za plastic zilizo na ubora, kwa mwenye uhitaji anaweza kunicheki tufanye biashara na delivery yenye uaminifu.
Namba: 0757005897
[emoji2769]Ngazi Ya Kupanda Kiuchumi Ipo Kigamboni
[emoji2769]Hakikaa Hata Wewe Unaweza 143000 TU Kila Mwezi.
[emoji2769]Kamwe Usiruhusu Mazingira Yanayokuzunguka Kuzuia Ukuwaji Wako
[emoji2769] TRUST SOLUTION COMPANY LTD , Ni watu pekee watakaoweza Kufanya Ukuwe Kiuchumi Kwa Kuwekeza Kwenye...
Wakuu habari,toka nijiunge humu JF nmekutana na maneno/misamiati kadhaa inayonivunja mbavu ,neno linalonichekesha zaidi ni “Chai”[emoji23] yani mtu akisema hii chai kabisa nacheka sana.
Wewe je ni neno gani ulilolikuta humu linakufurahisha sana?
Habari,
Wanajukwaa nna shida kidogo katika kipengele cha academic qualifications kwenye ajira portal,mara ya kwanza nlieka original documents za vyeti sasa ili kuapply inabidi nieke certified copies za vyeti,sasa nkizi upload hizo certified documents na zile original certificates zinabaki.
Je...
Trust Solution Company ltd,Tunatoa huduma ya uuzaji wa viwanja kwa size ya square meter Kigamboni Buyuni na mwembe mdogo kwa bei nafuu na unaweza kulipia kwa awamu.
Nicheki kwa no 0620801183 Nikuhudumie
Au tuwasiliane Pm kwa maelezo zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.