Mzee nimehangaika hospital private mpaka rufaa za kanda, wengi wanaishia kunipa dawa za maumivu. Kwenye jamii kuna wengi na wanapitia mengi mimi nitapona leo na kesho nitamsaidia mwingine. Magonjwa ni kama njaa leo kwa huyu kesho kwangu kesho kutwa kwako
Mzee sidhani kama wanaonishauri wanashauri wakiwa na nia mbaya ama utani, naamini kabisa ni katika kunisaidia kupata tiba, na hata kama utakua unajua tiba yoyote ukanishauri nitashukuru sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.