Habari ndugu zangu,
Naomba msaada na ushauri kuhusiana na hii freezer yangu.
Nilinunua mpya dukani hapo Katoro kwenye maduka ya vifaa vya umeme ni kampuni ya Hisense ina ujazo lita 100.
Nimetumia kwa muda wa wiki tatu, ingawa wiki ya kwanza haikuwa na changamoto ila kwa hizi wiki mbili...
Habari wanna jamii.... Kama mada inavyojieleza hapo juu, ninafikilia kuanziasha biashara ya kuuza barafu katika masoko na shule zinazonizunguka ninaomba ushauri kwa wazoefu katika mambo haya
01. Kuna mashine nliwahi kuiona mahali siijui jina lakini ni Kama tank furani lina maji halafu kwa chini...
Ninaomba kueleweshwa na kuelekezwa nini cha kufanya kisheria ili kupata haki yangu.
Niliwahi kukopa kwenye kitaasisi furani mwaka Jana sasa mwaka huu CRDB wamenihamasisha kwa kuwa wamepunguza riba hivyo Nataka kuwauzia Deni langu lililo kwenye hicho kitaasisi.
Sasa nawaomba cotation balance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.