Kutokana na mayowe yanayozidi humu jukwaani juu ya goli la Aziz Ki jana kukataliwa kule bondeni aiweke ili ndugu zetu wapungeze kelele. Kunya anye kuku tu ikiwa bata kaharisha.
Kagera Sugar nayo timu nao waliumia.
Leo kuna threads nyingi sana za vibwengo wa uvccm kuponda maandamano ya Chadema yaliyofanyika leo kuliko threads walizoanza kuhusiana na maandamano ya awali yaliyofanyika Dar na Mwanza.
Kusema kweli maandamano ya leo yalikuwa makubwa sana ikiashiria kuwa kadiri siku zinavyokwenda wanaanchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.