Kwanza hapakua na limit za kuonana ila baadae tukaamua tuonane Mara 1 kwa wiki mana tunaishi umbali wa kilometres 80. Nina wiki 2 sijamuona, nikapata matatizo ya kifamilia nilimuhitaji sana ndio sabab nilingangania kua nae.
Samahani kwa sikutambua gender yangu haiko, mimi ni mwanamke wa miaka 25 nimegombana nae akapata hasira kutaka tuachane, nimemuomba tumalize ugomvi kwa njia nyingine alikataa. Mimi ndio mkosaji kwakua nilingangania tuonane ile siku
Za asubuhi ndugu zangu!
Naombeni mnishauri nini cha kufanya kupunguza maumivu ya kuachana na mpenzi wako wa muda mrefu.
Nimeachana na shemeji yenu jana na hali yangu ki roho si nzuri kabisa hata moyo wangu umekua unauma sana kiasi nahisi nakosa nguvu.
Thanks in advence.
Dini ya kiislam inaruhusu mwanaume wa kiislam kumuoa mwanamke mkristo kwa sharti atambadili dini pia watoto wafate dini ya baba.
hairuhusiwi kwa binti wa kiislam kuolewa na dini yoyote ile except muislam , other wise binti atoke uislam na kufata dini ya mumewe!
ushauri wangu, dini si kikwazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.