Tony Gwanco;ndio chadema walivyo
Na imebainika kilichowaua askari hawa ni tamaa yao kwenda kuchukua hio pesa tamaa ambayo iliwafanya kwenda bila tahadhari na kukutana na risasi moja baada mwingine
Mpinzani wa kweli akitoka kwenye chama chake ataenda kwenye chama kingine cha upinzani.Swali kwa Chitanda,je yale mabovu ya chama tawala uliokuwa ukiyanyoshea kidole yamerekibishwa?Chitanda njaa itakuaibisha ndg yetu.wewe si mpinzani wa kweli.
Ushaidi unaonyesha kuwa ni kweli jenerator hio ambayo ni kubwa iliazimwa kuhudumia pale ambapo mwenge ulilala mwaka 1988.Ni aibu na fedhea kubwa kwa serekali kukwepa kulipa kifaa hicho.Familia hio ya Nangwanda kwa ujumla imekosa imani na serekali
Uongozi wa Kitaifa ulipofika Newala 1/06/2013 walihutubia kata zote ndani ya Newala lakini hawakuwahi kukutana na Akbar na wala yeye hakuwepo hapa Newala pia Akbar si Mwanachama wa Chadema kwa maana Chama hapa Newala bado hajafika na kupokelewa.
na NDF kwa ajili ya maendeleo ya Wilaya,yeye akazitumia kwenye kampeni kuhonga kuhonga shs 2000/-10000/.Dhamana ya mkopo huo ni jengo la Sekondari Tandahimba na gari 2 za NDF.Deni limeshazaa riba na majaribio yake kuwakata wakulima limeshindwa.
Bwana huyu ana lengo la kukiweka hicho kipande kitachokwenda Newala mikononi mwake.Ameshajaribu sana kulazimisha wakulima kukatwa 20/ kwa kika kilo bila ya kuwashirikisha wakulima.Taarifa ambazo zimeenea ni kwamba anahaha kupata pesa zilizokopwa 2010
Wala si Mkatoliki na pia Familia yake ni WaAnglikana.Yeye kwa mujibu wa taarifa za uhakika nilizonazo ni Mtu wa Meditation katika Nuru na Sauti na ni strict vegetarian hali nyama ya aina yoyote wala mayai,
Tetesi ni kwamba ana lengo lingine la kuigawa Newala na kuwa majimbo mawili na baada ya hapo agombee 2015 wakati tayari amekwisha ikamata TANECU na kuwa yake.
Pale Mnyambe mbali ya kuisema Chadema hoja kuu ilikuwa ni Adam Sijaona aka Sijali ambae alivua gamba rasmi 1/06/2012 na kukabidhiwa kadi ya Chadema na Dr.Slaa. aliitwa kibaraka,msaliti na pale ilibainika kwamba Ccm ndio wakabila na wa-kanda.
Habari zimetoka wapi? Si kweli kwamba Chadema Newala watamsimamisha Akbar.Naomba ieleweke kwamba Chadema makao makuu hufanya kazi zao kwa umakini na si kweli Newala kuna Akbar pekee,vile vile wakati ufikapo Mgombea atajulikana lakini si Akbar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.