Search results

  1. Annah simbeye

    Mwenye past papers au notes za lessen pharmaceutical assistant

    Hello wapendwa, mwenyewe past papers au notes za lessen pharmaceutical assistant naomba msaada, pia kwa anaejua mitihani huwa inafanyika mwezi wa pili tareh zipi anijuze, pia huwa ni mitihani mingapi na inafanyika kwa muda gan??
  2. Annah simbeye

    Dereva makini

    Hello mdogo wangu ni dereva wa magari makubwa pia anaweza kuendesha gari ndogo, analeseni ambayo inafanya kazi, anatafuta kazi popote akipata atafanya kwa uaminifu wote. Atakumuendesha mtu cha msingi apate riziki 0687904748 au 0678788141
  3. Annah simbeye

    Natafuta kazi

    Asante
  4. Annah simbeye

    Natafuta kazi

    Nipo dar ni miaka miwili pharmaceutical assistant
  5. Annah simbeye

    Natafuta kazi

    Habarini wapendwa mimi ni bint mtanzania wa miaka 23, nimesoma pharmaceutical science miaka miwili pia nimefanya kazi ya sales and marketing katika kampuni ya East Africa Fruits kwa muda wa miezi kumi. Ninaomba connection ya kazi yoyote yenye mshahara angalau laki tatu
  6. Annah simbeye

    House4Sale Jengo linauzwa Mlamleni Pwani

    Nipe no yako hatuwez shindwana
  7. Annah simbeye

    House4Sale Jengo linauzwa Mlamleni Pwani

    Jengo linauzwa lipo mlamleni pwan lipo karibu na shule na hospital pia lipo barabaran ni eneo lenye watu wengi
  8. Annah simbeye

    House4Sale Jengo linauzwa Mlamleni Pwani

    Jengo linauzwa lipo Mlamleni pwan lilianza kujengwa kwa ajili ya frem jengo lipo karibu na shule na hospital ni barabaran na ni eneo lenye watu wengi.
  9. Annah simbeye

    Natafuta ajira, elimu yangu ni kidato cha sita

    Habari waja Jamii Forums mimi ni binti wa miaka 22 natafuta kazi yoyote elimu yangu ni form six pia nimesoma pharmaceutical science mwaka wa pili nilishndwa kumaliza kutokana na kukosa ada. Naomba umnisaidie kupata kazi yoyote itakayonisaidia kujikim kimaisha na baadae nirudi kumalizia elimu yangu.
  10. Annah simbeye

    Natafuta kazi, nimesoma pharmaceutical science

    Mimi ni bint wa miaka 21 natafuta ajira nimesoma pharmaceutical science miaka miwili ila mwaka wa pili semester ya mwisho nimeshindwa kufanya mtihani kwa kukosa Ada. Natafuta ajira yoyote.
Back
Top Bottom