Hello wapendwa, mwenyewe past papers au notes za lessen pharmaceutical assistant naomba msaada, pia kwa anaejua mitihani huwa inafanyika mwezi wa pili tareh zipi anijuze, pia huwa ni mitihani mingapi na inafanyika kwa muda gan??
Hello mdogo wangu ni dereva wa magari makubwa pia anaweza kuendesha gari ndogo, analeseni ambayo inafanya kazi, anatafuta kazi popote akipata atafanya kwa uaminifu wote. Atakumuendesha mtu cha msingi apate riziki
0687904748 au 0678788141
Habarini wapendwa mimi ni bint mtanzania wa miaka 23, nimesoma pharmaceutical science miaka miwili pia nimefanya kazi ya sales and marketing katika kampuni ya East Africa Fruits kwa muda wa miezi kumi. Ninaomba connection ya kazi yoyote yenye mshahara angalau laki tatu
Habari waja Jamii Forums mimi ni binti wa miaka 22 natafuta kazi yoyote elimu yangu ni form six pia nimesoma pharmaceutical science mwaka wa pili nilishndwa kumaliza kutokana na kukosa ada. Naomba umnisaidie kupata kazi yoyote itakayonisaidia kujikim kimaisha na baadae nirudi kumalizia elimu yangu.
Mimi ni bint wa miaka 21 natafuta ajira nimesoma pharmaceutical science miaka miwili ila mwaka wa pili semester ya mwisho nimeshindwa kufanya mtihani kwa kukosa Ada.
Natafuta ajira yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.