Huyu jamaa hivi shughuli zake hasa ni nini?
tazama ufisini kwake.
Makubazi na staff wanakaa chini utafkiri wako madrassa
au ndio kalcha za ofisi huko Unguja?
Unajua naanza kuhisi kama hii habari ya kugombea ina credibility fulani. Sasa kuna kipindi ilidaiwa jamaa ni jasusi la marekani ndani ya serikali
Lakini Je wamarekani wanahitaji kuwa na jasusi ndani ya serikali? wao wanafaidika na nini ?
Hilo la uhakika watu washajumuisha mahesabu na kwa haiba yake ya kupenda kujsifu watu wameweza kuunganisha moja na moja na washamjua huyu
Pia kuana suala zito zaidi la credibility ya huyu jamaa kutapeli wanafunzi toka jimboni kwake na hili linatisha zaidi
Tatu ukisoma diplomatic cables tafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.