Poleni sana watu wa Kibaha, Ila kuna balaa nimeliona jana katika barabara za jimbo la ukonga jijini Dsm, mfano kutoka kituo cha pale Mombasa kwenda bomba mbili mpaka kwa mhaya ile zaidi ya Adhabu.
Nadhani zilikuwa mbingu za malezi hasa katika kumuandaa mtoto wa kiume kuwa mwanaume imara.
Kijijini kwetu kulikuwa na usemi kuwa ukipigwa na mwiko hutakuja kuowa.
Nakumbuka bibi aliwahi kunitandika mwiko mpaka ukapasuka. Lakini nina mke na watoto na watoto kwa sasa ha ha
Mambo yanaweza kuwa mengi Ila makuu kwa mtazamo wangu ni matatu.
1. Ulimbukeni na kutokujitambua.
2. Kutafuta kiki kwa ajili ya kazi zao na kupata wafuasi wengi katika akaunt zao maana wabongo tunapenda ujinga.
3. Sehemu ya kafara za kiibada.
Ni muhimu kuheshimu alama ya Taifa lako. Kuna siku utakuja kuvunjwa miguu ndo tutajua utashtakiwa kwa kosa gani.
Nenda kambi ya Jeshi alafu ipigwe filimbi ya kushusha/kupandisha Bendera ya Taifa alafu wewe Endelea na mishe zako.
Hii Nchi saivi tunaishi Kambale kila mmoja Ana ndevu, ukienda mwendo kasi kama hauna hela kamili unaambiwa katafute chenji, mwanafunzi nae anatakiwa kuwa na mia mbili kamili.
Tutafika tukiwa tumechoka sana
Uhuru wa kuabudu, kila mtu aishi kulingana na imani yake kikubwa asivunje sheria za Nchi.
Kula au kutokula ni swala binafsi kulingana na mapokeo na imani ya mtu.
Kufunga ni ibada, Simama katika ibada yako bila kuangalia mwingine na ibada yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.