Nchi huwa inashabikia vitu vya hovyo sana bila kuzingatia madhara kwa wananchi wake! Ingefanyika tathimini ya athari za mazingira na mwekezaji akashauriwa kutafuta njia mbadala au kuimarisha njia iliyopo kabla ya kuanza mradi kusingekuwa na kelele hizi!
Changamoto ya vyama vya wafanyakazi ni viongozi wao kuwa machawa wa CCM na hivyo kutokuwa na nguvu za kusukuma ajenda za wafanyakazi!
Kwa ilivyo sasa vyama vyote ni matawi ya CCM na vipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya viongozi wa serikali!
Kwa kifupi vyama vyote vya wafanyakazi havistahili...
Namna bora ya kupoza maumivu ni kukiri udhaifu wa timu yenu na kuwapongeza Yanga kwa kuwa na mikakati bora ya kujenga timu yao.
Sasa rudini katika vikao vya ndani na kujipanga upya!
Sidhani kama kuna ubaya ya kuwa na kabila la Watusi Tanzania cha msingi makazi yenu yafahamike. Kwa sasa mmesambaa na ni vigumu kuwaweka katika ramani.
Kwa hiyo toplemon kazi kwako!
Wachezaji wote wa Yanga walipata baraka ya FIFA na TFF na wana vibali vya kucheza mechi za ndani na za CAF, changamoto ni za kiofisi kuweka mafaili sawa.
Hivyo kaa kwa kutulia kipigo cha mbwa koko kipo pale pale tarehe 20!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.