Awe amefanya au ajafanya jambo muhimu kama baba wa unayejieshimu utakiwi kumtazama kijakazi Kwa macho ya kumtamani , hiyo ni kukosa heshima Kwa mkeo na kumfedhehesha hivyo utakiwi kuonewa huruma kama ambavyo umhurumii mtoto anayetafuta kuona kama atakuwa na kesho yake badala yake unaenda...
Kuna kitu kinaitwa sign of disease, Kuna general sign of disease alafu mwisho Kuna differential diagnosis maana yake hapa mtaalamu anaangalia sign ambazo zinaendana na magonjwa mengine Kisha ataitoa sign Moja ambayo ni unique Kwa specific disease anafanya conclusion sasa kama anafanya hivyo hapo...
Eleza uliweka dawa kiasi gani kwenye maji kiasi gani Ili usaidiwe na ulipiga mara ngapi ? Na eneo Lina ukubwa Gani ukinijibu hayo na kama uko tayari nipe kazi hiyo maana ndo kazi zetu hizo kuanzia kumeneji viwanja vikubwa(Turf management), mbegu za ukoka na mengineyo. Tatizo lako limeshapata...
Poultry business in tropical doesn't work like that comrade. Ndo maana kama umepitia huko Kuna vitu vinaigwa annual and season premises maintenance practice
Tatizo lako bado hauna umakini Ili usaidiwe hitaji lako .
1. Ili unufaike inatakiwa uwape chakula kama supplement halafu unawaachia kingine wajitafutie wawe na uhuru wao hapa unaweza kuzuia eneo Fulani Kwa net Ili wasiende mbali
2. Kiwango Cha pesa na mahitaji mengine atuwezi kusema coz lazima...
Nimeona mdau anazungumzia mchwa . Mbali na hiyo dragnet pia unaweza kutumia chlopyrifos 480 ec inafanya vizuri Kwa mchwa na awaleti uharibifu dozi ni 100ml Kwa 20lt za maji na dawa hii Lita 1 ni elfu 20 hii watanzania wengi wanaweza imudu na inakaa kwenye udongo at least miezi 4 hadi 6
Typhoid ni hatari sana jitaidi sana kama mdau alivyokushauri hapo juu. Pia uwe na routine ya kuchanganya OTC ya unga ata kwenye chakula chao , usafi wa Banda.
Je unauzoefu na viumbe hao Kwa mda Gani ? Je unatoa chanjo za kuku Kwa mda mwafaka kama kideri, mdondo, vihepe, homa ya matumbo n.k kabla ya kuwalaumu hao wataalamu jiulize wewe una nini? Coz ugonjwa unaingia taratibu na kutoka ni taratibu.
Pia hata hospital watu ufariki na dawa wamepewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.