Hivi muunganiko wa watu unakuwa Mali ya Serikali!? Hata sheria ya vyama vya siasa na asasi za kiraia imepitishwa na Bunge lakini haimanishi kwa ACT na Red cross ni Mali ya Serikali bali ni vyombo rasmi vilivyopo kwa mujibu wa Sheria!
Du huyiu jamaa JM ni majanga,ndio maana kila akipewa kazi inamshinda kumbe bongo yake haijitanui aka mropokaji! Mbunge anae msema yeye kasema aliwawekea dhamana tu ili baadae waje wailipe kampuni!
Kuna binadamu anaweza akashindwa kujifunza kwa wenzie. Basi kama yupo atakuwa na matatizo ya kli ,na hiyo inaonyesha kwenye tume kulikuwa na magumash kibao. Hata kuona umuhimu wa mahakama kuchukukua nafasi yake na kuepusha machafuko haoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la tanzania yetu ni kuwa mambo makubwa yanayohusi raia tunayapuuza ila mambo ya kawaida kama faru john ndio utasikia kelele mpaka tume zinaundwa!!
Ukweli ni kwamba huwezi kulinganisha makosa yako na ya wengine ,nakuna uwezekano bakwata waliingiza magari lakini maofisini kwao hakuna magari na kwa taasisi nyingi walioingiza utayakuta yapo. Hivyo bakwata ni makosa kufanya crime kwa kuingiza magari kibiashara au ya watu binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.