Mtoa mada ukisema anakupenda na hakutafuti mpaka umtafute yeye unakuwa unamaanisha nini hasa, tuambie nikitu gani kinakuonesha anakupenda ikiwa hakutafuti ???
Nafikiri Kuna haja ya kuanzishwa mitaala ya kufundisha mahusiano shuleni.
Nikupe maana ndogo ya MAPENZI, mapenzi ni hisia yaani mtu...
Nashida ya kazi, nilipokua nafanya kazi Kampuni imefungwa.
Jamani hata iwe ya maslahi madogo ile iwe ya uhakika tu, hata kazi ya usaidizi ofisini, hata dukani.
Hata kazi ya kusimamia choo cha sokoni.
Napatikana Dar es Salaam.
Kutamani sio sula suka ni feature ya kutamani mtu uwenae kimahusiano hapa tunazunguzia ngono tamaa ya ngono haingalii sura hata Kama mwanamke ana uso Kama Bambo akivaa kanga moko akalala tako likatingishika tamaa inakuja, pia tamaa muda mwingine wanaume inakuja mwilini yenyewe bila ya uwepo wa...
Zamani watu walikuwa wanauwa Sana mbwa hasa koko shule ya msingi Kuna alikuwa anamfuga hamlishi kakondaaa mifupa akamtelekeza alioigwa matofari Kama mwizi hadi kufa
Kuna tofauti kati ya aliye na pesa na aktamka maneno haya na asiyekuwa na pesa mzee ukisema "pisi hazina shida kabisa na pesa yako" inamaana pesa ni unayo hapo na huyo manzi just in case akawa na shida na kihasi Cha pesa unaweza mpa na mpaka kufikia Happ pia unaweza kuwa ushawai kumpa pesa ila...
Kwanini ulim-block Kwani ndio mwisho wa kugonga hutahitaji tena kugonga au kila ukihitaji kugonga unatafuta demu wa kutongoza hizi Aina nyengine za sijui za ujanja au Nini munaziweza wenyewe tu
Ndoa Ina gharama yake kabla ya kuwa ndoa wanawake wengi hawalipi hio gharama at first baadae wanapostuka wanataka kufanya janjajanja wanaishia kupigwa tu na wengine kuishia kuwa single mother
Mahusiano yanapoanza yanakuwa motomoto katika kipindi Cha miezi mitatu ya mwanzoni kila mtu anakuwa...
Usimfikilie vibaya Happ mwenye makosa wewe kuingia kwenye private ya mtu kuna vitu vingi kwenye INBOX ambavyo akiangalia asiyehusika atafikiri vibaya ila sio ule usiri unatufanya tuwe huru kuandika chochote
Mzee chats za mtu FB unazionaje ume hack account au maana huwezi ingia inbox anyway charting ni private ya mtu Kuna chat za mtu ukizipitia unaweza fikiri vibaya kumbe just normal kwasabu ni sehemu private anaweza jitanua.
Nassma hivyo kwasabu hata mimi nishawai chat na shoga akanipa moaka...
Watu wengi wakistafu wanarudi mjini Sasa na mipango mizuri sikuzote wekeza zaidi pale ambapo una malengo ya kustafu Sasa hii miradi au fursa ulizotaja hapa ukishastafu na kurudi mjini unaenda kuanza upya tena inakuwa umefanya kazi bure au ndio unampango wa kuzeekea na kufa huko porini.
Hizo kazi ulizotaja sio adhabu bali ndio raha za kuwa mke au ndio ufahari wa kuwa mke Mfano:- mwanamke ambae hajaolewa umri umeenda akisikia mwanamke mwenzie hasa wa umri wake walicheza wote "Leo kachelewa anasema anamfulia nguo mmewe" huyu mwanamke ambae hajaolewa kauli hio lazima impige...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.