Search results

  1. BA JO

    Kama mambo ni hivi basi elimu yetu itaendelea kuwa ya chini miaka na miaka

    Afisa Elimu Msingi wilaya ya Tandahimba na wakuu WA shule za msingi naomba mpita huku muone mnavyosemwa
  2. BA JO

    SOFTWARE Jisomee vitabu vya Kiswahili bure ndani ya App hii?

    Hii bure KABISA manaake nini?
  3. BA JO

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    " kwa wastani WA kipato cha Million moja kwa mwezi???? Ndo no push vi baby walker?.. watu tunna push ma brevis na salary inasoma 600k
  4. BA JO

    Watumishi wa Umma ambao hatujapanda daraja tukutane hapa

    Mimi wamenipa barua ILA mishahara haujabadilika ,,,make wamenipunja mshahara!..
  5. BA JO

    Waziri Mchengelwa aangukia pua zoezi la upandishaji madaraja watumishi wa umma, vilio vyatanda kila kona

    Duh ,,ukiwasikia wanvyokuhakikishia unaweka Imani ILA soo stupid!.. walopanda sizani hata wanafika 50% make kila unamuliza ni kilio, tumeambulia kupewa barua,,,make wanaanza kutengeneza madeni tena
  6. BA JO

    Ipi tathmini yako kuhusu siku 100 za Rais Samia madarakani?

    Divide and rule,,, madaraja wengine tumeishia kupewa barua Tu. ILA mishahara haijabadilika!..
  7. BA JO

    Serikali lipeni malimbikizo ya mishahara. June 2021 kama mlivyoahidi

    Mmh mkuu hiyo 70 ? Inatoka wapi ,,ikiwa walioajiliwa 2015 wote bila bila,, Siasa
  8. BA JO

    Serikali itoe ufafanuzi kwanini kuna watu waliostahili kupata daraja jipya hawajapata

    Idara ya Elimu wamepanda walio ajiliwa 2014 pekee,, wengine hakuna kitu!.. na kwa Sisi wilaya yetu wote 2014 na 2015 tulipewa barua ya kupanda daraja, na ikielekeza itakua effective from 01.06.2021
  9. BA JO

    Tabia ya kuwa na miadi sehemu na mwanamke, yeye anakuja na rafiki zake bado ipo?

    Niambie before Kua " honey ntakuaja na friends kadhaa will it be ok!.. sio gafla unaniibukia na timu ya mpira'' hata faragha tunakosa hatuwezi enjoy tuzungumza,, MDA wote mnaongea issue zenu za saloon!.. no way!.. guys kama tulivyokubaliana wakija wengi zaidi ya wawili unawamwaga !..
  10. BA JO

    Nataka kuoa barmaid. Je, nitadumu nae?

    Bar maids 99% wanauza K. Do this kama Una guts mchunguze!.. how tafuta MTU,,mlevi mpe assignment amuombe K ,,,tunawagonga Sanaa ,
  11. BA JO

    Anaonyesha kukupenda ila ukimtongoza anakataa

    Sio lazima umwambie nakupenda !.. show vitendo ,,,like unampa Ka story funny afu akicheka unampiga kikofi flani hiv ,,shavuniii ,,,pajani au takoni depending na position,,,,pia Kiss her shavuni mkononii regurary,, ndioo goo ahead mpage ma Hug,, mkitembea hold her hand,,,IPO siku utajikuta...
  12. BA JO

    Taasisi yetu mpaka sasa hakuna aliyepewa barua ya kupandishwa daraja

    Akili za kuambiwa na kukalili,, wee endelea kukulia kwa shemeji huku ukiwaponda walimu;, infact hao watumishi 1000, ni Sawa na walimu wa wilaya moja Tu, TENA idara ya Msingi!.. leav us alone you bloodbasket,,,,,,
  13. BA JO

    Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

    Nilipiga division 1 point 15 pale Nyampulukano sengerema!.. 2008!..
Back
Top Bottom