Wadau,
Nawasalimu.
Kwa masikitiko makubwa napenda kulalamika juu ya kadi zinazotumika kuvuka kwenye pantoni maarufu kama N CARD,tangu Ijumaa wiki iliyopita kumekuwa na sintofamu kwa wateja waliokuwa wameweka pesa kwenye card zao unakuta card ina pesa ya kutosha lakini kila ukichanja...
nawasalimu kwa jina la Jamuhuri kiitikio.......
naomba kujuzwa tatizo la umeme linaloendelea sasa nchini mbona hatuna taarifa rasmi kutoka mamlaka husika au serikali?
kuna mgao??????
MBONA SERIKALAI IKO KIMYA NA KUTUACHA WANANCHI MIDOMO WAZI.
ANEJUA KINACHOENDELEA ATUJUZE HAPA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.