Utekelezaji wa idea yako na mengine mengi ya kulikwamua taifa kiuchumi primarily unategemea na utayari wa viongozi wetu (political willingness) ambayo kimsingi haipo. Tanzania ina resources nyingi sana ambazo iwapo zingetumiwa sawasawa uchumi wetu ungebadilika(to the better) shida ni utayari wa...
Nadhani hili ni kujumu la serikali kutambua uwepo wao na mchango wao kwa taifa na si lazima sana kwa wao kujijengea hoja au kujitetea kwani under globalization,dual citizenship si hoja ngeni hata within EAC ni sisi na Burundi ndio tuliobaki rigid na ku-uphold sheria za zamani za kuwakana ndungu...
Nashauri haya yanayomtokea Makonda na yaliyompata Sabaya yawe ni case study katika vyuo vya uongozi wa taifa maana watanzania wote wameshuhudia before their naked eyes the quick rise and fall ya hawa ndugu kwa kulevya na madaraka. Personally , sina ushauri wa namna ambayo anaweza kukimbia...
This time around Diaspora wambane atoe maelezo yaliyonyooka kuhusu kutambuliwa kwao - dual citizenship or special status nasio kuishia kupokeana na kupiga picha.
Propaganda!! Kwani mara ya mwisho wewe kumuona au kuwasiliana na bwana Alexander Bespalov ni lini? Mwambie ajitokeze adharani ili tuamini kuwa hizi ni propaganda.
Kinadharia ina sound vema sana kakini unapokuja katika uhalisia ni ngumu sana. Siasa za nchi za jumuiya ya EAC ziko tofauti sana. Mathalani mpaka leo chaguzi za uraisi Kenya bado ziko based on ukabila, South Sudan halikadhalika. Ukija Uganda na Rwanda kuna harufu ya kuanza kwa utawala wa kifalme...
Nadhani usahihi wa jambo hili ni kuwa combination ya hoja ya Ngwajima na ulichokieleza wewe ndio solution kwani unapokuwa na mipango ya kitaifa ya muda mrefu ambayo utekelezaji wake unaratibiwa ,kunalindwa na kusimamiwa na taasisi imara hapo ndipo unapopata matokeo chanya regardless ya nani yuko...
"Zakuambiwa, changanya na zako". Mbona hawakuandamana wakati Mrusi anajenga bomba la gas kutoka Russia mpaka Europe? Hawa watu ni kichefuchefu. Bwawa la umeme la Magufuli wanamazigira wa Ulaya walilikataa vilevile.
Leo hii ukisema tujenge vinu vya nuclear kwaajili ya kuzalisha umeme...
Waafrika especially weusi wanabaguliwa karibu kila mahali duniani iwe China, Europe, America, Russia, uarabuni, india etc tofauti ni viwango tu. Pengine unijibu kuna sababu gani ya msingi inayo justify mauwaji ya raia wa kawaida wa Ukraine yanayofanywa na Russia?
Hakika ni tuhuuma nzito sana kwa jeshi la polisi. Kwa namna ambavyo mkuu wa nchi amei- present ni direct attack kwa polisi na nukuu- [ "Hamuwezi kuhusika na mauaji halafu mkatengeneza tume ya kujichunguza wenyewe"] kwa hali hii ni busara kwa viongozi wa jeshi la polisi wakajitathmini na...
Kuna tofauti kubwa kati ya nafasi ya uspika na spika Ndugai. Hakika spika kwa nafasi yake kama mkuu wa muhimili ni position kubwa sana lakini kwa upande mwigine kuna Job Ndugai ambai ni spika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.