Jamani mademu hawa mhhh, nina kimchepuko changu mitaa ya majengo, kwa kweli nampenda kiasi yeye ameachika kwa mumewe na anaishi na katoto kake kamoja na mimi nina mke wangu na watoto wawili nyumbani.
Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua...
wanajamviii nimeona niweke wazi sijui kama kuna watu wanafahamu hii wine inayotoka south africa inayoitwa amarula yaani ni kukosa viwanda sijui ni nini, maana miti ya matunda haya yapo mkoa wa Tabora japo kuwa yanapatikana kwenye misitu.
Lakini sioni hatari kama watu tutajitosa na kuchuma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.