Nayasema haya nikiwa na uchungu na masikitiko makubwa kwa hiki ambacho madaktari wanachoendelea kututendea waTanzania! kuna machache wacha niyaseme ili moyo wangu utulie!
1. kama sikosei mgomo wa madaktari wa mwaka 2004, madaktari walikua wanadai ongezeko la mishahara, ambapo kwa kipindi...
Kama kawaida ndugu katika jamii! Mdau mpya, katika mwaka mpya, na mawazo mapya ya mabadiliko katika jamii! Nagonga hodi natumai kufunguliwa mlango ndani ya nyumba nikaribishwe!! Shalom!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.