Mm nimpongeze mama yetu samia Suluhu Hassan, kiukweli saiv tunaona mabadiliko makubwa kivitendo, Enzi za mwenda zake haya mambo yalikera mno,alipenda sifa kupitiliza, na wateule wake walimjua, kila mmoja wao akawa anapigania kuwa front page ya kumpamba!, kila chombo cha habari taarifa ni zake...
Hujamuelewa mkuu wa mkoa, alichomanisha hapo, kuna walimu wengi wapo mjini hawataki kwenda vijijini, hivyo shule za vijijini kukosa walimu, na wananchi kutozwa hela kwa ajili ya kuwalipa walimu wa mikataba!!
Hizi ni kazi za kiufundi mkuu, hivyo subira inahitajika, wanaojitaji huduma sio wewe tu wapo wengi, changamoto zilizopo Tanesco mafundi ni wachache, unakuta Wilaya nzima ina mafundi nane, na technician mmoja, na wanaohitaji kuunganishiwa umeme ni wengi na wamelipia.
Ndio maana lazima usubiri...
Taarifa kama hizi peleka takukuru!! Ndo kazi yao!! Lakini ukweli ndo huu kwamba rushwa haitaisha Kwenye nchi hii!! Mm ninaamini hata hao 271 ni watanzania wenzetu sema ni vzr ajira zikatangazwa kwa uwazi vijana wachangamkie sio kinyemela hivyo, hapo ndo wanakosea
CCM ndo chama Dola! Wana hela yatakutosha huwezi linganisha na vyama vya upinzani!!! Kwa hali ilivyo vyama vya upinzani Hususani CHADEMA ndo chama bora nchi hii!!!
Ccm ni chama sio hawa wanaonunua wapinzani???? Spika huyuhuyu wa CCM amewangangani wabunge waliofukuzwa na chadema!!! Ni dhahiri...
Mbona mnangangania sana, akina chimbi sana, hapa Tanzania ni wao tu???? Watu wameanza kuongoza toka utawala wa mkapa bado mnawangagania haohao hamna wengine??? Mm mnaniudhi sana!!
Acha uzinzi utakupeleka jehannum ya moto ndugu, kama unazidiwa na tama oa tu, hizo ni tamaa na zitakupeleka motoni mpokee Bwana Yesu ili uwe na Uzima ndugu yangu
Hizi ni nyakati za mwisho hazina tofauti na nyakati za nuhu! Hivyo dhambi ya uzinzi inachukuliwa kama jambo la kawaida, mwenye kuipenda nafsi yake ataiangazmiza mwenye kuichukia ataiponya!!!
Dhambi ni mbaya sana, watu wamkimbilie Bwana Yesu awakoe na tamaa za kidunia ambazo lengo lake ni kuwapeleka wengi motoni
Ufunuo wa Yohana 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa...
Mungu yupi?? Maana hata shetani ni mungu wa dunia hii soma
2 Timotheo 2:19
Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, <br>Bwana awajua walio wake. <br>Na tena, <br>Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.
Ndugu zangu kwa sasa maisha ya watanzania wengi ni magumu, hela hamna, Ajira hamna, biashara imekuwa ngumu!! Kitendo hiki kilichofanywa na TCRA sio cha kizalendo tulitegemea kuona nafuu lakini imekuwa kinyume chake, nani yupo nyuma ya hili??? Huku ndiko kumsaidia mwananchi wa kawaida au ndo...
Natafakari sana sipati jibu!!! Huyo ndo mteule wa magufuli tunayemjua au mwingine
Kumbe ndo maana
1: Assad alitumbuliwa
2: bunge live likazuiwa
3; wasiojulikana wakaongezeka
4: kusifu na kuabudu kwa mkuu vikaongezeka
5:vyombo vya habari havikuwa guru
6: watu waliogopa kutoa maoni!!!
7; msimba...
Hiyo tiyari ni Roho ya shetani ilishakuvaa huwezi kuacha kwa nguvu zako, unahitaji nguvu za Mungu, Ouky naomba nitext wasap 0672363681 nitakusaidia namna ya kuondokana na tatizo hilo na wewe utawafundisha wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.