Ni matumain yangu mu wazima wa Afya,
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Naomba kufaham kwa yeyote mwenye Ufahamu wa jambo hili.
Ni hospital gani ambayo inatoa huduma ya kufunga bracelets kwenye meno kwaajil ya kufanya proper arrangements ya meno kwa kutumia Bima ya Afya.
Natanguliza shukran
Wakubwa Natumai Mu wazima wa afya.
Niende kwenye Mada moja kwa moja
Wakuu laptop yangu Hp elitebook 2760p
RAM 4GB
HDD 500GB
Window 10pro
nikiiwasha inaniletea maelezo hayo msaada tafadhali
Habari Wakubwa,
Hongera kwa kazi kubwa ya ujenzi wa Taifa. Wakubwa niende kwenye Mada moja kwa moja wakubwa nina Laptop mbili Zote ni Hp Ellite book.
1:Hp ellitebooka 2760p Hii ipo kwenye hali nzuri kabisa, pamoja na Ellite book nyingine ambayo imeharibika keyboard pamoja na Battery.
Wakubwa...
Wakubwa hongereni kwa Ujenzi wa Taifa letu pendwa [emoji1241]
Wakubwa naomba kufaham kwa wenye ujuzi wa haya Maswala ya Computer naomba kufaham ubora wa Hii PC Aina ya Hp elitebook 2760
Core i3
CPU 2.03
RAm 4Gb
HDD 500GB
Natanguliza shukran Kwenu[emoji120]
Wakubwa Heshima yenu
katika pitapita zangu huko Twitter nimekutana na hizi picha mbili
Yakwanza ni original photo ambayo imechukuliwa kwa sim na ya pili ni baada ya kuwekewa filter
kiukweli nimeipenda aina hii ya filter
naomba kwa anaefaham App ambayo inaweza kufanya filter kama hii picha...
Wakubwa hongera kwa shughuri za Ujenzi wa Taifa letu pendwa Tanzania.
Wakubwa naomba kupata ufafanuzi wa jambo hili.
Je, nikwel uvaaji wa miwani ya macho kwa muda mrefu hupelekea macho kuingia ndani zaid?
Je, kama nikweli mtumiaji wa miwani ya macho afanye nini?
Natanguliza shukran zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.