Wadau wataalumu mnamo alfajili siku 2 zilizopita nimeota ndoto ya mda mfupi sana na ktk ndoto nilimeona Simba Alie nenepa sana katika Poli la majani mafupi na mchanga wenye vumbi nilishtuka lkn chaajabu Simba alikuwa tayali amenikalibia karibu mno kiasi kwamba nisingeweza kukimbia...
Wadau kichwa tajwa hapo juu
Niko na 26 Years Jijin Dar income 200k per month na 30k allowance per week ktk harakati za maisha Mungu amenisaidia kuwa na nidhamu kubwa sana ya kutimiza malengo yangu ya Kila mwezi nayojipangia
Toka 2021 mpaka Leo nikiwa ktk shauku ileile.
Hakika ujenzi wa kipato...
Habari!
Wana Jf Nina boma langu style hii inayoonekana pichani naipenda sana kwani haijaingia sana mtaani hasa maeneo niliosimika boma langu af pia kutokana na kipato changu 200k naona nitampuguza gharama nyingi hofu yangu sijui kesho ya hili nililo chagua mnaojua changamoto za style hii nijuzeni
Mwongozo hapo juu ni kijana (25) natafuta kampuni ya Mambo ya shipping nifanye field Mara baada ya kumaliza semister 2 mwezi wa 6
Nipo mwaka wa pili (Diploma) course ya SHIPPING AND PORT MANAGEMENT.
Pia nimesoma course ya computer vizuri Sana nazijua Documents muhimu na mtililiko wake na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.