kafunguka kwa maneno mafupi kweli, nanukuuu: ....."situmiii jukwaa hili , si kwa kujisafisha kama wengine ,wananchi mnatujua, na wale wengine mnawajua".
Source : Radio Maria Tanzania
NAWASILISHA.
swala la mawasiliano ni muhimu , !! wasiliana na kurugenzi ya mawasiliano kwa email hii tancoru@yahoo.com or kwenye facebook search Tanzania Russia, na jiunge ktk fb group THE TANZANIAN COMMUNITY IN RUSSIA(TANCORU) . Nafikili tunahitaji kufahamu zaidi mko wangapi na majina kamili ili tuwapatie...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wajumbe wa kamati maalumu ya watanzania waishio Urusi, Jumamosi ya Novemba 26, 2011, walikutana ,ikiwa ni mfululizo wa vikao vya kujadili azma na mchakato wa Uzinduzi rasmi wa Jumuiya ya Watanzania Urusi .The Tanzanian community in Russia(TANCORU)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.