Wakuu,
Leo hii JK alikuwa huko Monduli Arusha kutunuku kamisheni za Maafisa wa Jeshi.
Taarifa za kuwasili kwa JK Arusha zilianza ziku chache zilizopita ambapo ilikuwa apitie uwanja wa ndege wa KIA, ndipo aingie kwenye msafara wa magari hadi Arusha, kutokana na sababu kuwa kiwanja cha ndege...
Wakubwa,
uKITAKA kujua uhondo wa ngoma, ni uingie ucheze.
Nimependezwa sana na jukwaa lenu, naomba ukaribisho wenu!
Nilikuwa nasoma hoja zenu motomoto, leo nimeamua kujitosa moja kwa moja!
Mnanikaribisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.