Search results

  1. C

    Yuko wapi msanii mkongwe Norbert Chenga?

    Kaka umenikumbusha mbali... Nilikuwa siwakosi pale kijiji cha makumbusho kijitonyama na silent inn mwenge. Never miss... Ilikuwa burudani sana; umenikumbusha kina Small wangamba, alwatan minyugu, God, pili, na wengine wengi. Kwa kweli naimiss sana burudani hii.
  2. C

    Tabata ndo inaongoza kwa usodoma na ugomora

    Hujamaliza uchunguzi wako... Ukiendelea na huo uchunguzi wako utakuta ni ile ile mijitu ya sinza imehamia tabata kwa wastaarab ndo inaendeleza mambo hayo huko tabata... Nyambafu zao...
  3. C

    Watanzania tumshukuru Mungu kwa kupata rais bora.

    Toka hadharani na wewe ndo ujue kama anacheka cheka. Waulize wenzio waliokuwa wanasema hivyo hivyo. Sasa hivi mpira wanaita 'mfila'
  4. C

    shamba,Eneo linatafutwa

    Mimi nina shamba Mbezi Luis (Kwa Beda) kama mita 200 toka Morogoro Road. Bei Tshs 80M. Kama uko serious nipigie. Simu: 0715 488 669.
  5. C

    Kiwanja kinauzwa segerea mzimuni bei poa kabisa

    Umbali gani toka barabarani? Kina hati?
  6. C

    Viwanja vinauzwa maeneo ya tabata segerea dsm

    Tafadhali hebu tupe habari kamili. Segerea sehemu gani? Vina ukubwa gani? Bei inazungumzika? Vina hati? Unaweza kutupa list angalau vitano na bei zake vikiwa pia vinajibu maswali hayo hapo juu?
  7. C

    GHARAMA YA KUAGIZA SUZUKI SWIFT 2005 (FOB) USD 1500-Msaada

    Mimi nimepitia hiyo tovuti na napata jumla ya kodi zote na registration kama Tshs. 2.7M. Gharama ya gari mpaka Dar es salaam (C.I.F) inaweza kufika $2,700 (F.O.B + Freight + Inspection) ambayo kwa rate ya sasa ni kama TZS 4.3M. Jumlisha na clearing charges zingine kama TZS 700,000, utakuta gari...
  8. C

    Wanaoutaka urais 2015: Yupi anafaa?

    Na mnastahili mbaki bila lami hivyo hivyo. Mmewezaje kumwacha mpiganaji kama huyu na kwenda kuchagua watu wasio na uwezo. Huoni kama mmetucheleweshea maendeleo ya Taifa kwa kumchelewesha Magufuli kuja kututumikia..?
  9. C

    Wanaoutaka urais 2015: Yupi anafaa?

    Ndiyo niliyokuwa namwambia kijana wangu Zitto haya.
  10. C

    Zitto: Nia, Uzalendo na Uwezo wa kuwa Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania ninao!

    Nafahamu Zitto ni mfuasi mkubwa wa Hayati Mwalimu Nyerere. Anazo quotes nyingi sana za Mzee huyo muasisi wa Taifa hili. Nahisi kuna quote moja haipo kwenye collections zake, na kama anayo basi ufuasi wake utakuwa unatia shaka. Quote yenyewe ni hii hapa "IKULU NI MZIGO. MTU SAFI KABISA...
  11. C

    Dr. Ulimboka na dr. Deo=kanumba na ray?

    Ndugu wana-JF, naomba mniondolee utata ulionikumba. Kuna tuhuma kwamba serikali inahusika na utekaji wa Dr. Ulimboka na kumfanyia hayo waliyomfanyia. Swali langu la kwanza ni kutaka kueleweshwa kama serikali ilikuwa na nia ya kumuua au kumtesa tu Dr. Ulimboka. Kama serikali ilikuwa na nia ya...
  12. C

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Faizafoxy umetaka angalau jambo moja tu zuri alilofanya Nyerere, nami nikakutajia machache mawili tu. Tayari umeshabadili hoja na kutaja majina ya watu. Mimi sasa hata sijui wewe unachotaka ni nini! Lakini nakuusia tu kuwa inabidi kutumia busara nyingi na hekima tele katika kujibu hoja mbali...
  13. C

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Haya FaizaFoxy, mi nanunua kesi hii. Nyerere katusaidia kupata uhuru wetu, pamoja na wazulu wako hao kuwa walikuwepo, lakini waliona yeye ndiye anaweza. Wakamtoa kazini, wakamtambikia na mbuzi kule Bagamoyo, Nyerere akaenda kwa wazungu akaleta uhuru. Tuache yooote mengine aliyoyafanya, alikuwa...
  14. C

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Wanajamii wote mmeshindwa kutofautisha mambo ya msingi yaliyohitaji kufanywa zama za Nyerere na baada ya hapo. Mazingira ya wakati wake, nikimaanisha kuwa ndio wakati alikuwa anaanza kutengeneza nchi baada ya kupata uhuru bila wataalam, na kama walikuwepo basi ni wale ambao walitaka kutuandaa...
  15. C

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Salaam aleikum Sheikh Mohamed. Tafadhali nami naomba nitumie hizo "paper" na mihadhara uliyotoa kupitia address yangu; yusuph.mushi@yahoo.com
Back
Top Bottom