Habari wananchi wa Tanzania.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kumekuwa na kupanda kwa bundle za internet kwa zaidi ya mara mbili kwa bei iliyokuwepo awali.
Swali langu kuu ni kwamba gharama za uendeshaji kwenye mitandao ya simu zimepanda?? Nakama zimepanda nini kimesababisha?
Je...
Ndugu mimi ninaomba kujua tu. Nani anaejua matokeo halisinya hizi chanjo??
Nani anaejua madhara ya hizi Chanjo??
Huoni kuwa ni risk kwa taifa kufanyia majaribio kwenye Jeshi na Madaktari wake???
Hii chanjo ingekuwa imesha tumika tukaona matokeo yake hapo ningesema hakuna shida ila hakuna hata...
Msaada Pls
Inamaana kuwa nikituma shs 10000. Ninakatwa kodi mara nne?
Najua sinta eleweka.. Ila ni hivi.
Mimi natuma hela nina katwa VAT na kodi ya serekali hayo nimakato mara mbili.
Kampuni ya simu nayo kwa hela ile ile niliyotima atakatwa VAT na Kodi ya serekali.
UPINZANI TENGENEZENI SERA...
Huu uni ga unao endelea Tanesco. MAGUFULI angekuwepo saahizi kunamtu kibarua kimeota nyasi. Na umeme ulisha rudi kawaida siku nyingi.
Kweli Magu tutakukumbuka.
Wasi wasi wangu kuna jambo Tanesco wanafanya. Na watakapo rudisha huduma INAWEZEKANA WAKARUDI NA BEI TOFAUTI YA UMEME PER UNIT.
Lazima umeme utapanda bei.
Kuna test nyingi sana ana fail. Umeme unakwenda siku 3 haupatikani, Magufuli miaka mitano ya kwake hukuwahi kusikia shida kama hii ya umeme, bila kusikia kiongozi akitamka neno.
Na mwenyewe alisema tutamkumbuka. Sasa sisi wa kupata 2000 leo ndio ununue umeme tunalala giza. Ina gikia mahali mtu unatamani kufunga loop wire nyuma ya meter upate umeme. Kuliko kusubiria umeme usio patikana.
Mimi hili nakataaa Mfumo wowote lazima uwe na buckup. Mfumo unaoingiza hela kama Luku uniambie upo down toka juzi??? . Hilo haliwezekana kuna sababu mahali.
Bado nawaza aibu itakayo wakuta watu pale Dr Magufuli atakapo toka mapumzikoni huku akicheka kile kicheko chake.
Lissu.
BBC
Nyumbu
Sijuii mtaziweka wapi nyuso zenu.
Wakati nyie mnamuombea Rais kifo wapo wanao muombea uzima kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu iendelee kumfunika. Tuna kaataa na...
Huku kukatika kwa umeme kumezidi sasa. Tunaomba kujua kama mgao imeanza au la.
Halafu mnapenda sana kuomba namba za simu za watu. Ndio kusema mnataka kutengeneza database ya namba za simu???. Hebu rudisheni umeme huu uchumi wakati mtauhatibu wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.