Leo ni siku ya tisa sasa maji kukatika wilaya yote ya Sengerema kinachoelezwa hapa ni kuwa Tanesco wamekata umeme kwenye chanzo cha maji Nyamazugo ambapo ulipo mtambo wa kusukuma maji wananchi wanahaha kutafuta maji huku wenye dhamana wakikodoa macho mradi huu wa maji wa Nyamazugo ulipewa fedha...
Hoja sio kutoa pesa maalim ni wapi mwenyekiti wa mtaa na mtendaji wanapata nguvu ya kukamata wananchi na kwenda kuwafungia kwenye office ya mtendaji kama mahabusu sheria ya wapi hii
Kumekuwa na mchango wa shilingi elfu 10 kwa kila kaya ambayo imeelezwa na wadai kuwa ni fedha zinazo changishwa kwa ajili ya kujenga shule ya kata nyamplukano shida sio wananchi kuchangia maendeleo yao hapana, tatizo ni force inayotumika kukusanya michango hiyo.
Mwenyekiti ajulikanae kwa jina...
Nitajikika kwenye halmashauri ya Sengerema mkoa wa Mwanza imekuwa kawaida sana kwa watendaji wa halmashauri nyingi kutokuwajibika na kuwatumikia wananchi wakati mkuu wa wilaya yupo mkuu wa mkoa yupo mkurugenzi wa wilaya yupo OCDVyupo OC CID yupo DSO yupo mpka Waziri au mhe Rais apite wilaya...
Naanza kwa kuishukuru Serikali yetu pili mhe rais wetu kwa kazi kubwa,
Lakini nije kwenye hoja yangu wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza hapa wilayani kuna barabara ambayo wahusika walipiga picha kuweka michoro na nguzo za zege nyumba ambazo zitabomolewa kwa ajili ya utanuzi wa barabara hiyo...
Najaribu kuandika kwa uchungu sana ni kweli tunahitaji maendeleo kwenye taifa letu ila kusubiria maendeleo hayo iwe kero na maisha magumu kwa wahusika kwa mfano mm na wenzangu ni kati ya wananchi ambao nyumba zetu zimepimwa ili kubomolewa kwa ajili ya utanuzi wa barabara ya sengerema nyehunge...
Jicho linaelekea katika jimbo la Sengerema lililopo wilayani Sengerema mkoani Mwanza jimbo ambalo kwa miaka kumi na tano liliongozwa na Ngereja kama mbunge Ila mwaka huu baada ya kura za maoni kuisha Chama cha Mapinduzi kilimpitisha mgombea Hamis Tabasam kuwa mgombea ubunge.
Katibu wa CCM kata...
Naamini kila anaehusika upande wa serekal watachukuwa hatua stahiki kabisa nchi hujengwa na wananchi husika lakini pia sio kila mgeni au makampuni ya kigeni huja nchini kwa nia njema watanzania tuondoe zile kasumba zetu jambo linalohusu maendeleo ya nchi yetu tuwe macho nalo mambo ya siasa na...
Uzalendo kwa nchi yako uko wa aina nyingi ila kwa makala hii inayo ihusu kampuni ya Nas dar Airco ni maalum kabisa itakayo fichua madudu ambayo wanaohusika au serekal iyashughulikie ipasavyo na iyone kwenye vita hii ya kujenga uchumi tunatakiwa kusimama sawasawa
KAMA HUJUMA ZA KAMPUNI YA NAS DAR AIRCO ZINGELIKOMESHWA MAPEMA NA WATENDAJI KUEAJIBIKA YALIYO TOKEA YASINGEENDELEA KUTOKEA
Salam wakuu,
Naandika haya kama mzalendo ninayetamani kuona mabadiliko Makubwa kwenye Viwanja Vyetu vya ndege Tanzania.
Leo nitazungumzia Kampuni Tata ya NAS-DAR Airco...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.