Bro, Issue sio kwenda kampuni nyingine issue ni kuwa yuko connected na Mama Janeth na yeye atakuwa curious kumfahamu Iryn lazima afanye njia yoyote kuprove kile ulikuwa unasimulia Hapo hapo ndo kitaharibika
Naomba kuuliza viongozi. Kuna positions zimetoka masharti zinahitaji uwe na referees wawili. Wakati mpaka sasa hivi kwa applications za nyuma tulizofanya mimj CV yangu niliyoupload ina referees 3 pamoja na kwenye system nilijaza 3.
Sasa swali langu ni je? Kwenye kuapply hizi nafasi, natakiwa...
Sema uongo dhambi...UTUMISHI wanaonesha jinsi gani wana BUREAUCRACY ya kupindukia. Aisee It doesnt make sense watu kusubiri zaidi ya siku 30 majibu baada ya usaili.
Tred ndo nini kwanza hujui hata unachoandika....Nimeongea utumbo umesikia sauti yangu humu?
Hujui hata kutofautisha kati ya kuongea na kuandika.....NONSENSE!!!!!
Mkuu, with all due respect. Interviews za UTUMISHI inabidi zipewe heshima yake....Unaweza ona mtu amekariri tu lakini katika manotes yote na mambo yote, kile kitendo cha kuyajua majibu sahihi tu tayari ni ushindi.
Jambo lingine, MDA & LGA ndio ilikuwa Oral yangu ya kwanza (Naamini nitafaulu kwa...
Aaaaaah kumbe mkuu swala la kuamua kuleta humu story ni wewe tu na wala sio ubize wala nini.. Maana hapo unasema ulikuwa na MPANGO wa kuleta hiyo story tarehe 5 March ila kwa kuwa umeguswa na comment ya mwamba unasema utaiwahisha.....Safi. Ila hapa chini nina barua yako ya wazi
With all Due...
Asante sana mkuu..
Sio mbaya nikajifunza zaidi kwa ajili ya kuelewa zaidi na kwa yule ambaye hii inaweza kumsaidia kesho.
Hayo mambo wanayoyataka ni kama yapi mkuu...kwa uzoefu na uelewa wako
Nashukuru Mkuu....
Lakini kutaja elimu yako, experience na some achievements tu ambazo unazo tena kwa muda wa chini ya dakika 2 ni mambo mengi hayo?
Anyway, Mungu anajua zaidi na Pengine ngoja tusubiri Majibu
Wakuu wenye uzoefu na mambo ya usaili hebu wanipe ufafanuzi hapa.
Nilipiga Oral sasa lile swali la INTRODUCE YOURSELF kuna wakati nilifika nikaambiwa ENOUGH...Twende swali la pili.
Mpaka naambiwa its enough, nilikuwa nimeelezea vitu vifuatavyo:-
1. Background yangu i.e jina na elimu.
2...
Have a little more faith.....MDA&LGA waliofanya interview juzi Dodoma....walisubiri kwa miezi 6 kuwa shortlisted tu kwa ajili ya Oral.....Your time is coming.....Have a little more faith.
Sema wenge la chumba cha usaili ni hatari sana....Pepa linaweza kuwa rahisi....ulitoka mle ndani ndo unakumbuka maneno mazuri zaidi ambayo ungeyajibu....ila ukiwa mule ndani evaporation yake sio ya kawaida wakuu 😄.
Halafu wakui, hili swala la umeambiwa kwenye swali MENTION halafu wewe uka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.