Kosa lilikuwa kuanza bila kiungo mtuliza timu. Jorginho mzima partey mzima unaanzaje na kiungo kile... ainabidi akubali mmoja wao kati ya jesus au kai aanzie bench
Acha uzwazwa wewe... unaonyesha matukio ambayo VAR imeonyesha na kurudia vizuri ili kuridhisha kila mtu aliyeko uwanjani na asiyekuwepo uwanjani. Mbona VAR mechi ya yanga hawakufanya hivyo
Nawasalimu ndugu zangu. Natumai ni wazima.
Ningependa kuuliza jambo kwani najua humu hawakosekani wajuzi wa mambo. Hivi Uchungu kwa mke anayekaribia kujifungua unaweza kumhusisha na mume?
Yaani dalili ambazo anapata mume zipo kwenye kuashiria kwamba na mkewe anakaribia kujifungua?
Historia haichezi mpira . Ile Form ya man city ya mwaka jana. Hata wangecheza na madrid Mara 10. Man city angeshinda mechi nane. Form ndo kila kitu. Historia inacheza Fainali tu ya mechi moja
Ni uhakika game Ni ngumu . Na Ndo maana ya robo fainali. Arsenali akipita hivi vigingi viwili naiona nusu fainali ya 2006 na Fainali na barcelona tuko hapa.
Katika timu zilizobaki wapaki basi Ni atletico n inter ambao mmoja wapo leo anachomoka. Kwa hyo sita zilizobaki zinapenda kupishana . Nyinyi wenyewe mnajua ukitaka kupishana na arsenal kinakukuta cha kukukuta. Hii arsenal usipishane nayo utaumbuka. Kwa hyo aje yoyote
Katika gemu ngumu me naiona ya porto ilikuwa ngumu sana kwa arteta. Ukizingatia na upana wa kikosi alichokuwa nacho. Kama amepita jana namtabiria mema. Na nahisi ndo ilikuwa target yake kubwa kupita kweta rrobo. Kuvunja miiko kwanza. Ila urejeo wa wachezaji wake muhimu. Hakuna timu yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.