Duru za hakika kabisa zinatabanaisha ndugu Kinana huenda akagombea ubunge katika Jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya CCM.
Sababu kuu mbili zilizo mfanya agombee ubunge ni kwanza mzee yule anaheshimiwa mno na wana Arusha na sifa hiyo pekee uhakika wa yeye kutangazwa mshindi itakuwa mapema tu...
Chama cha madaktari Nchini Tanzania kimedai kuwa maambukizi na wagonjwa wa Covid 19 yamepungua/wapungua sana hapa Nchini.
Akiongea na Idhaa ya kiswahili ya Ujerumani rais wa Chama hicho ametabanaisha kuwa visa vya wagonjwa wa Covid 19 vimepungua na hali hiyo inawapa faraja.
"Ikumbukwe hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.