Ukitaka kuacha kubeti chagua Ile timu unayoiamini kabisa ikicheza na timu kibonde kabisa ipe win or draw then tupia kamilioni, kakiliwa utaacha milele kubeti. Kama sijasahau 2017/2018 msimu ambao Barcelona anaongoza ligi kashinda mechi 15 mfululizo bado mechi tatu wamalize msimu na alikuwa...
Kama kufungwa mtafunga watu wengi Sana walioajiri watoto chini ya 18 yrs. Lakini watanzania tutunge Sheria zinazoendana na uhalisia wa maisha yetu, hv ni wangapi wanaishia la Saba, ni wangapi wanaishia form four? Kwahiyo Hawa wasifanye kazi kabisaaaaa mpaka wafikie miaka 18? Nchi masikini...
Haitoisha misimu miwili wataridisha hayo mashindano. Watadumaza Sana vilabu vinavyochipukia Kwa sababu kihistoria hawana points za kuweza kushindana na hao kina Mamelodi, Simba, al ahly nk
Wenye pesa waliotoka familia tajiri ndio wako humble, sio hao ukoo mzima masikini ndio yeye kabahatisha kautajiri full kutukana waalimu, waliokuwa wanaongoza darasi enzi zake😂😂😂, wakulima,
Ila kiukweli demu akishakuwa single mother Hana Tena uwezo wa kuchagua atakavyo, lamda awe mpambanaji na mwenye kipato angalao mwanaume anayetambua atasema sawa yeye ni single mother ila anakasifa kaziada ni mpambanaji. Lakini single mother alafu kipato chako ni kupitia mbususu,,, tutapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.