mimi jamani nashindwa kuelewa jinsi hii nchi inavyoendeshwa! Kwa mfano nataka kujua ni sheria gani hutumika kumkamata mtu mathalani amenunua sukari arusha mjini na soko lake liko namanga ambayo ni tanzania.yaani maaskari wamefanya mradi wa kujipatia pesa isivyo halali.wanunua magari ya starehe...
anamtega nani? Huenda ni ridhi 1, wanaofurahia hali iliyopo ni jk na watoto wake na washikaji zake.mimi ni mwanajeshi cku wakijisahau waniachie penye madude mazito,nalianzisha mpaka wakimbie ikulu nikifa najua hawatatesa tena watu hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.