Bwana zito kabwe amenukuliwa na vyombo vya habari kuwa anamwomba katibu mkuu wa chadema Dr. Slaa kuitisha kikao cha dharura kulizugumzia swala hilo la posho kupandishwa kinyamela kwa kuwa sera ya CDM ya mwaka 2010 inakataa posho kubwa za watumishi wa serikali. Zitto amesema watajadili hizo...
Kikao cha cdm na jk kimeisha, hamna vyanzo vya habari? Mbona taarifa haziwafikii wananchi mapema au mpaka taarifa ya habari jion, serikali na cdm tunaomba taarifa, tumieni hivi vyanzo vya habari vipo kwa ajili ya wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.