Search results

  1. M

    natafuta kazi ya maabara

    Habali wana jf natafuta kazi ya maabara (medical laboratory) nina uzoefu wa kutosha, nipo dar nitanguliza shukulani. my phon, number 0652-011020. mbalikiwe wana jf.
  2. M

    ushauli jamani

    Nashukulu kwa ushauli wenu nitaufanyia kazi
  3. M

    ushauli jamani

    Abali zenu wanajanvi kuna binti nakaa nae mtaa mmoja nimetokea kumpenda sana nataka awe mchumba wangu kwasababu nimelidhika na tabia zake nimemwambia kuwa nampenda awe mchumba wangu hakunipa jibu la ndio kasema nisubili anichunguze nimejalibu ku2mia malafiki zangu lakini wapi atoi jibu la ndio...
  4. M

    Tabia hii ya baadhi ya mabinti inaudhi sana

    iyo ata me imenitoke juzi kati kuna binti nilisoma nae juzi nipo ilala nikamuona akajifanya kanisahau nikaanza kujitambulisha mtu mzima badae sana akajifanya kunikumbuka nikamuomba namba kwasababu nilikuwa nawai kazin akachomoa kwamba cmu kaacha ofini kwake na akumbuki namba yake kichwa, cjui...
  5. M

    Hajui kuhesabu siku zake

    kama anashindwa kuesabu cku zake ww muesabie lkn ilo tatizo na inaonekana ajui kusema no! kwa kila anayemtogoza
  6. M

    Kwa Wanaume tuuuu!

    iyo ata wewe uliye andika itakukuta me cmo nimehesabu nimefikisha nane
  7. M

    wanawake wanaosema NO, wamekwenda wapi siku hizi?

    Wambie labda watajilekisha maana cku izi wanaume atupati shida kutongoza mwanamke wa aina yoyote.
Back
Top Bottom