Nakutakia kila la heri but kuna biblical ways za kupata hilo hitaji lako pliz zitumie na uwe makini usije juta baadae halafu ukaanza kuwaomba wapendwa wakuombee
HABARI ZENU WANA JAMII FORUMS NATAFUTA MTU WA KUSOMA NAYE ACCA FINANCIAL MANAGEMENT F9 ALIYEKO MWANZA KWANI NAMI NIKO MWAMZA KIKAZI KWA SASA.NAMAANISHA KUSOMA KWA NJIA YA DISCUSSION.KWA ALIYE SERIOUS NA ATAKAYEFANYA SOMO HILO PAMOJA NA MENGINE ANIPM AU ATUMIE alexmo@accamail.com
AHSANTENI SANA!
Anaweza kabisaaa akasoma nina mtu wangu wa karibu ambaye alipata DIV 4 amemaliza certificate na sasa anaingia diploma ya IT hapohapo UCC cha msingi tu atembelee ofisi zao au website yao kwa maelezo zaidi.Kuhusu CBE kwenye IT sifahamu sana ila DIT na IFM ni wazuri but sina hakika kama wana kozi...
Si kwamba microchip INAKUJA imeshakuja swala ni muda tu kwa mfano Mexico idadi kubwa ya tycoons familiiles wameshawekewa hizo chip.Hii husaidia kuonyesha mahali walipo kama wakitekwa.Mexico ni kati ya nchi zilizo juu kwenye mambo ya utekaji nyara wa MATAJIRI.Hivyo wote walio microchiped...
Karibu sana jamvini wewe unataka wapendwa tu wawe marafiki zako!!!! hupendi kuwapata na wengine ukawapiga neno nao wakasalimisha roho zao! even kwenye ulimwengu wa digital Yesu anaokoa, anyway sijui hasa concern yako mpaka ukaandika hii meseji maana iko very short otherwise wapendwa tupo...
Hi all,
Salaam wanajamiiforums
Naomba kujitambulisha kwenu mimi ni member mupyaaaa hapa foramuni.
hope mtanikaribisha, nitakapokosea mtanielekeza!!!!!!!!!
Wakatabahu
Mr. Alex
By mlimbwende Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?
Mhh post yako iko too general je una maana graduates wa kozi zote huwa unawaajiri hapo kazini kwako labda...
Mhh ajifanyie tathmini yeye mwenyewe mbona wengine wanapata? akae chini na kujiuliza wapi anakosea kulalamika hakutasaidia.Labda hana uwezo wa kusit masomo matatu at par so why alazimishe kuisoma wakati kuna bodi kama acca ambapo mtu anaweza kufanya somo moja kila exam session na ndani ya miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.