CCM ni chama cha ajabu Sana[emoji23][emoji23][emoji23]inafukuxa wanachana afu inanunua wapinzani imekuwa timu ya mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama makosa wote wamefanya makosa kwann wasiwafukuze wate huu ni uonevu mkubwa Sana.....pole Membe ingia mstuni tu baba hiyo ndio njia nzuri ya kumtoa Magu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.