Amini usiamini leo asubuhi katika kisiwa cha Kelebe wilayani Muleba kumetokea dhoruba kali ya dakika 30 Majira ya saa nne asubuhi.
Nashangaa wataalamu wetu wa hali ya hewa kutotoa taarifa. Vipi mitambo yenu vipi?
Kwenye nchi zinazo heshimu utawala wa sheria na wanainch wake wanajitambua, hawezi lakini katika nchi ambazo aziheshimu utawala wa sheria na tamko la rais ndiyo sheria kama tz anaweza
Kama kuna viongozi wanaotakiwa kukamatwa na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria. Ni hawa, Ndungai, Biswalo Mganga pamoja na jaji mkuu. Kwani walitumia ofisi za umma na madaraka yao vibaya.
Kwanza tujue hizo pesa zilitoka wapi serikalini ama familiya. Pili jamaa alikuwa si mkweli na mambo yake alifanya kwa kutamka hata uongo ukaonekana ukweli. Tutaaminije ? Kama kweli alilipa hizo pesa. Mf alituaminisha shirika la ndege linapata faida hadi wanatoa gawio. Jiulize ilo gawio walilitoa...
Nilishawahi kuandika humu jf, kuwa Watanzania wengi ni wanafiki na wasaka tonge. Wachache sana wanao ishi kwa kile waaminicho na kwa taaluma zao wasaka vyeo wamewabambakizi jina si wazalendo. Lakini mungu yupo hiko siku haki itashinda dhuruma na ukweli utashinda unafiki.
OMBI LANGU KWAKO RAIS SAMIA, ITENDEE HAKI IKULU. KUMBUKA VITABU VITAKATIFU VINA SEMA, KUWA NYIE WATAWALA MNAMWAKILISHA MUNGU HAPA DUNIA. kwa hiyo HAKI ndo kiwe kitu cha kwanza. MAMBO YA WATU KUTEKWA , KUPOTEA NA KUPEWA KESI BANDIA ZA UHUJUMU UCHUMI N.K nakuomba sana usikubali yaendelee hebu soma...
Kipimo moja wapo kati ya kiongozi na mtawala ni hiki. Kiongozi anachaguliwa na watu na anasimamia kuongoza yale walio mchagua wameyaweka . Mtawala anaweza kurithi ama kutumia njia zisizo haki kupata madaraka, yeye hasimamii maamuzi ya liyowekwa na wenye nchi Bali kauli yake ndiyo sheria. Kwa...
Nadhani siyo vzr kumuombea binadamu mwezio mabaya. Biblia inasema Hakuna mamlaka iliyo jiweka yenyewe, hata kama ni katili kiasi gani, mungu ameiridhia. Na anamakusudi nayo. Naomba kutoa mfano laisi, hivi yesu hakujua kuwa Yuda atamsaliti, pia pale msalabani wakati akiteswa, aliumizwa sana...
Waziri ni msaidizi wa rais katika wizara aliyoteuliwa na rais. Kama rais amekataa na yeye ame kula kiapo cha uaminifu, afanyeje ?. Hanakosa wala sababu ya kujiuzuru kwa matokeo mabaya. Labda angejiuzuru mapema kwa kutokubaliana na msimama wa rais. Wenzetu nchi zilizoendelea kidemkransia wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.