mkara mshamba
Senior Member
- Jan 15, 2020
- 105
- 103
Amini usiamini leo asubuhi katika kisiwa cha Kelebe wilayani Muleba kumetokea dhoruba kali ya dakika 30 Majira ya saa nne asubuhi.
Nashangaa wataalamu wetu wa hali ya hewa kutotoa taarifa. Vipi mitambo yenu vipi?
Nashangaa wataalamu wetu wa hali ya hewa kutotoa taarifa. Vipi mitambo yenu vipi?