Muleba: Upepo mkali na mvua ya mawe

mkara mshamba

Senior Member
Jan 15, 2020
105
103
Amini usiamini leo asubuhi katika kisiwa cha Kelebe wilayani Muleba kumetokea dhoruba kali ya dakika 30 Majira ya saa nne asubuhi.

Nashangaa wataalamu wetu wa hali ya hewa kutotoa taarifa. Vipi mitambo yenu vipi?
 
Amini usiamini leo asubuhi katika kisiwa cha kelebe wilayani muleba kumetokea dhoruba kali ya dakika 30. Majira ya saa nne asubuhi. Nashangaa wataalamu wetu wa hali ya hewa kutotoa taarifa. Vipi mitambo yenu vipi
Hilo dhoruba kali la dakika 30 ni la namna gani? Kimbunga, tufani, volcano, radi au nini hasa? Litaje angalau kwa lugha ya kwetu ya kihaya ili tukuelewe.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom