Search results

  1. mshumbusi

    Manji bado anaumwa, apatiwa matibabu gerezani

    kwenye msiba wa wanji utakuta ccm wanenda na makonda na mgufuli atakuwepo subili uone.... pole pole atatoa neno kwa niaba ya chama subiliuone
  2. mshumbusi

    Serikali yapiga marufuku kuzungumzia suala la Faru John

    Timwambia hatatumbua vijipu uchungu tu majipu yenyewe haya shikiki ukilishika unakua ni kiongozi Mkubwa wa chama hahahah mwisho wa story za faru john ....... Sisonje kesha shindwa kama alivyo shindwa lugumo hahhaha sisi tumetulia tunamwangalia anavyo angaika
  3. mshumbusi

    Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar yawa ombaomba

    Hakuna pesa isiyo kuwa na matumizib
  4. mshumbusi

    Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar yawa ombaomba

    Habari wana javi Leo imetapakaa barua ya kuomba msaada wa kifedha kukamilisha sikuku ya mapinduzi ya Zanzibar
  5. mshumbusi

    Makala ya kiuchunguzi kuhusu 'Sakata la Dkt Mwele Malecela' na ZIKA

    Dr mwele kwauliyo yafanya kama bado ujaolewa nikupe zawadi ya mm kukuoa
  6. mshumbusi

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    Najua hata apple walikataa na serikali ya marekan ikaamua kutumia wadukuzi wake kifunga simu hapa kwetu tunamshauli maxence melo kutotoa taarifa yoyote hadi kesi yao ya kikatiba iliyo funguliwa isikilizwe na iishe
  7. mshumbusi

    Hatma ya Muungano: Wazanzibari wadai kura ya Maoni

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar sasa kuvunjika,kesi iliyofunguliwa na wazanzibari 40,000 yawagawa wanasheria wa smz na smt hadi hii Leo wote washindwa kujibu Madai yaliyowasilishwa mahakamani dhidi ya Muungano,baadhi ya wahafidhina wa ccm Zanzibar wataka muungano uwe mwisho Rais...
  8. mshumbusi

    Kwanini uteuzi wa Nchimbi unachukuliwa kama hujuma kisiasa?

    Habari wana jamvi Dr E.nchimbi Nimwanasiasa machachali ,asie jua kuongea nimemfahamu toka nipo SONGEA boys .Nchimbi ana CV nzuri sana kwenye upande wa mipango ya ushindi na Ushindi mfano kama unakumbuka lowasa alivyotolewa kwenye orodha ya wagombea yeye ndio alijulisha dunia kuwa lowasa...
  9. mshumbusi

    Dangote Cement penetrates giant Kenyan Cement Market

    Moderate , mnacho Fanya sio poa hata kidogo Jana niliandika kuna tetesi ya kiwanda cha dangote kuamia Kenya ila hiyo nyuzi mliitoa Haya Leo yamekuja mengine please mrudishe ile nyuz
  10. mshumbusi

    Kiwanda cha Dangote kusitisha uzalishaji: Aibu kwa serikali yenye nia ya kuendeleza viwanda

    Kiwanda kikubwa kama kile inatakiwa waondolewe kodi kwenye baadhi ya mambo kwakua kodi seikali inachukua maeneo mengi kupitia ajira
  11. mshumbusi

    Kiwanda cha Dangote kusitisha uzalishaji: Aibu kwa serikali yenye nia ya kuendeleza viwanda

    Mzee biashara ni faida na makaa ya Mawe yapo kwenye grade sasa inawezekana yanayotoka south yana quality nzuri na bei chini magu anapotoshwa na wasaidizi wake duniani kote wafanya biashara wanaeshimika
  12. mshumbusi

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    Nichek Whatsup ili niweze kukuunganisha na mteja 0786004243
  13. mshumbusi

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    niviashiria vya madini hayo yako ni langi gani
  14. mshumbusi

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    kwa kawaida inaweza kutuimiwa zaidi kama mpo share
  15. mshumbusi

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    wewe ukua uanauliza nini wewe sema utasaidiwa
  16. mshumbusi

    Kwa uzalishaji na masoko ya biashara za madini, njoo hapa uliza chochote

    kweli so nivizuri kuwa na chama hayo ni mawazo yangu
Back
Top Bottom