Timwambia hatatumbua vijipu uchungu tu majipu yenyewe haya shikiki ukilishika unakua ni kiongozi Mkubwa wa chama hahahah mwisho wa story za faru john ....... Sisonje kesha shindwa kama alivyo shindwa lugumo hahhaha sisi tumetulia tunamwangalia anavyo angaika
Najua hata apple walikataa na serikali ya marekan ikaamua kutumia wadukuzi wake kifunga simu hapa kwetu tunamshauli maxence melo kutotoa taarifa yoyote hadi kesi yao ya kikatiba iliyo funguliwa isikilizwe na iishe
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar sasa kuvunjika,kesi iliyofunguliwa na wazanzibari 40,000 yawagawa wanasheria wa smz na smt hadi hii Leo wote washindwa kujibu Madai yaliyowasilishwa mahakamani dhidi ya Muungano,baadhi ya wahafidhina wa ccm Zanzibar wataka muungano uwe mwisho Rais...
Habari wana jamvi
Dr E.nchimbi
Nimwanasiasa machachali ,asie jua kuongea nimemfahamu toka nipo SONGEA boys .Nchimbi ana CV nzuri sana kwenye upande wa mipango ya ushindi na Ushindi mfano kama unakumbuka lowasa alivyotolewa kwenye orodha ya wagombea yeye ndio alijulisha dunia kuwa lowasa...
Moderate , mnacho Fanya sio poa hata kidogo Jana niliandika kuna tetesi ya kiwanda cha dangote kuamia Kenya ila hiyo nyuzi mliitoa
Haya Leo yamekuja mengine please mrudishe ile nyuz
Mzee biashara ni faida na makaa ya Mawe yapo kwenye grade sasa inawezekana yanayotoka south yana quality nzuri na bei chini magu anapotoshwa na wasaidizi wake duniani kote wafanya biashara wanaeshimika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.