Search results

  1. N

    RFA: Kipindi chenu Kizuri Kuweni lakn Makini na Maneno Yenu Kwenye Kipindi cha "Je Huu ni Uungwana?"

    Kipindi kizuri bwana aah! Ni kero za kijamii lazima zisikike. After all sometime ni maoni ya wasikilizaji yanayotumwa!
  2. N

    Rais Kikwete ahutubia Taifa - Mwisho wa Mwezi Februari

    Hata yeye eti anashangaa udini ilhali yeye mwenyewe ni propeller wa hayo mambo, shame on him.
  3. N

    Kwawamba Hatarini Kujiuzulu

    Itakuwa kidogo heshima kwake.
  4. N

    Uhalisia wa matokeo ya kidato cha nne 2012: Nini kimepelekea kufeli huku?

    Na zile shule za taasisi nadhani zitaprosper maana wanafunzi wengi watahitaji kurisiti.
  5. N

    introduction

    Karibu Ngongombwe!
  6. N

    BBC: Rais Kikwete aruhusu Majasusi kutoka nje kuja kuchunguza mauwaji ya Viongozi wa Dini Zanzibar

    Baadaye ataita na mercenaries kuja kudhibiti upinzani, yetu macho. Nchi ya fully unnecessary breaking news. Hivi kweli chanzo cha haya madudu hakijulikani?
  7. N

    Hili la mchujo kidato cha kwanza limekaaje.?

    Ndugu wanajamvi JF, wizara ya elimu imetoa maagizo ufanywe mtihani kuwatahini waanafunzi wa kidato chaa kwanza 2013 ili watakaofeli wachujwe. Pia tumeambiwa kuwa mitihani na marking schemes italetwa mashuleni. Pia mitihani ifanywe Jumatatu 11 na kusahihishwa mashuleni. Cha kushangaza tunatumiwa...
  8. N

    Masasi: Nyumba ya mbunge, magari 20, trekta vyachomwa moto... Watu wawili wadaiwa kuuawa!

    Kwani lipi gumu kwa serikali kukaa mezani? Inataka mpaka iwe discredited internationally?
  9. N

    LUDEWA KUINGIA KIZANI KWA MUDA USIOJULIKANA: Tangazo kutoka tanesco

    Umeme Madunda na Lugarawa utaendelea kuwapo tu , halafu pia vijiji vya Ludewa 85% haviujui umeme hivyo impact yake itawahusu wachache. Hofu yangu yanayotokea southern corridor yanaweza kutokea Ludewa sio kwa kukosa umeme bali rasilimali zinazohama bila kuwasaidia wananchi. Mtikila uko wapi...
  10. N

    Zitto: Mwaka 2015 rais wa Tanzania ni lazima atoke CHADEMA

    Ni kweli ulichshauri ni muhimu kwa kila chama kinachotarajia kushika dola kwani kutakuwa msuko2 mkubwa sana. Hivyo CDM should prepare potential men from grass root.
  11. N

    Zitto: Mwaka 2015 rais wa Tanzania ni lazima atoke CHADEMA

    Ni kweli ulichshauri ni muhimu kwa kila chama kinachotarajia kushika kwani kutakuwa msuko2 mkubwa sana. Hivyo CDM should prepare potential men from grass root.
  12. N

    Mheshimiwa Rais, haya ndio matunda ya 'Divide and Rule'!

    Let us spark out national referendum first within jamii forum then making a tour countrywide preaching national integrity and stability instead of relying to that president.
  13. N

    Masasi: Nyumba ya mbunge, magari 20, trekta vyachomwa moto... Watu wawili wadaiwa kuuawa!

    Na hiyo TBC Haitangazi kabisa habari hizo. . Hiyo serikali itafakari upya jinsi keki ya taifa inavyogawanywa.
  14. N

    Dr. Slaa,huna hata aibu

    Doctor Slaa hana aibu, halafu tena mfumo kristo, sasa mbona sioni relation hapo? Kama si M4C tujuze ni kipi kilichowaamsha wana Mtwara? Ni huo mhadhara wa Ilunga? Kiuhalisia M4C imeamsha wengi sana vijijini labda Mtwara ndo sijui. Vijanja hawadanganyiki tena na Tshirt!
  15. N

    Mtunzi wa vitabu Joram Kiango

    hapana, huyo Hayati Faraji Katalambula.
  16. N

    Sababu za walimu kukosa zoezi la sensa hizi hapa

    Sisi tupo walimu 35 hakuna aliyechaguliwa sensa, sasa je kulikuwa na lazima gani kufunga shule? Kweli nchi hii ni ya mfalme juha.
  17. N

    Ubepari unaporomoka, What's Next?

    Ujamaa ni mzuri ikiwa falsafa ya kudumisha utu na usawa kwa wengi kama ilivyofanya Tanzania kupitia Azimio la Arusha. Lakini faida za ujamaa ni chache ukilinganisha na ubepari. Ktk ujamaa kuna udikteta uliopitiliza, uchumi usio na ushindani,udumivu wa akili za watu ktk kutuckle global challenge...
Back
Top Bottom