TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
Hafla ya kukabidhi Rasimu ya Katiba kwa Mhe. RaisTume ya Mabadiliko ya Katiba inapenda kuwafahamisha wananchi na wadau wengine wote kuwa Hafla ya kukabidhi Rasimu ya Katiba kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mhe. Dkt. Ali...
SEHEMU YA HOTUBA YA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA, MHESHIMIWA MATHIAS M. CHIKAWE (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2013/2014
....Uratibu wa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba
4. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha 2012/2013 Wizara yangu...
Wakubwa,
Jaji Rwakibarila hajapooza. Nimeongea na mtu anayeshughulikia matibabu yake muda si mrefu. Ni kweli anaumwa, lakini kwamba amepooza SIO KWELI KABISA! Very unprofessional.
Wakuu,
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba kesho, Jumanne, Juni 19, 2012 atakutana na Wahariri wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Ukumbi wa Karimjee, Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3:00 asubuhi - 7:00 mchana kwa lengo la kuzungumza naokuhusu kazi ya...
Nimekutana na hii - Kesho, Jumatano, Mei 2, 2012 kuanzia saa 3:00 asubuhi kutakuwa na hafla fupi ya kuikabidhi na kuitambulisha ofisi ya Tume ya Katiba inayoongozwa Joseph Warioba tayari kwa kuanza kazi. Hafla hii itafanyika katika Ofisi za Tume zilizopo katika Jengo jipya la Wizara ya Mambo ya...
Uzushi mwingine bwana, ndiyo yaleyale...'uongo umesemwa tangu jana, now unaonekana ni ukweli'. Mi nimekuwa nafungua tangu jana na sijaziona hizo picha.... Kwanza uzushi wenyewe umeanzia kwenye jina la Wizara (ni Katiba na Sheria, sio Sheria na Katiba); pili jina la Waziri eti Dr. Celina Kombani...
Kwa hali ilivyo, inawezekana kabisa kuwa uchaguzi ukirudiwa hata leo...CHADEMA itashinda Arusha Mjini. lakini, kwamba reasoning inaonyesha Jaji kahongwa, hii siikubali...tena Rwakibarila? Hapana...
Ngoma nzima hiyo:
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Jumatano, Februari 29, 2012
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amevialika vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, jumuiya za kidini, asasi za kiraia na makundi mengine ya watu wenye malengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.