Who is mwamposa yule shetani wa mguu mmoja na walokole wana tofauti gani yaani imani ya leo ni ya
kipumbavu Sana eti mafuta alafu kaki mbia huku akijua watu watakufa wamekufa haja sema kitu baada ya siku tatu utasikia eti mwamposa kafufua na wakati ishirini walio kufa kwake hajaweza mwamposa...
Chakusha ngaza hao hao wachungaji huwa wana wacheka nakuwaita wapumbafu ila hawa elewi hao hao wachungaji eti unasikia watu wajinga eti wanataka vitu vyabule wakati wao wenyewe Wana vitaka jamanii walokole mmezidi kuweni kiakili Mungu Ni imani yako tu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Bado naamini wata kuwepo tu hai labda wame fichwa sehemu maana hakuna ajuaye wamekufa ,wapo hai na wapo wapi hakuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaweza kuwa nayo ila Sasa siunajua tokea mwanzo marekani anajitia kwake hali shwari kukwepa aibu mtu anavo jitutumua alfu Ana pigwa na ka nchi Kama kale
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapo muongelea huyo jikumbe wewe na huyo unae mtetea saizi Tanzania tunaishi tu kila my alishachoshwa na vitimbi mtu anaona anunue ndege Tena kwa cash wakati uku nyuma Ana matatizo kibao hizo ela alizo nunulia ndege ndizo zinge saidia Hilo tatizo eeeh alfu leo tuombee mkopo wakati Alisha sema...
Jamaniii mwambieni kangi Kuna nanafasi ya lindo awai nafasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhh huwo uwongo jamani Tena mkubwa kabendera alikuwa anatumiwa na baadhi ya watu katika serikali walikuwa wakimlipa nakumpa Siri ili azitoe
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.