Binafsi namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuwa hai mpaka sasa.
Ikiwa zimezalia masiku 7 kufikia sukukuu ya Noel na Masiku 14 kukuja mwaka mwingine napenda kukutakia mandugu zangu na marafiki zagu salaam na heri ya mwaka special.
1. Moja, wazaa mimi Mr. & Mrs. Professor Rutashoborwa (B.A. M.A...
Kwema wadau?
Kutokana na ubize wa Maisha nilionao, ni jana tu ndio nilipata nafasi ya kwenda kushuhudia michuano ya kombe la dunia kwenye uwanja wa Khalifa International Stadium licha ya kuwepo Qatar mwezi wa tatu sasa.
Kama ilivyo desturi yangu, huwa sipendi kusumbua watu au kusumbuliwa. Ndio...
Kwa niaba ya familia ya Prof. Rutashoborwa LLB (Oxford, UK), LLM (Yale University, USA), PhD (Cambridge UK,) wa Manhattan, New York, NY, USA.
Tunatoa pole kwa uongozi mzima wa kasri
la kifalme Uingereza kwa kuondokewa na mtawala (Bibi yangu) Malkia Elizabeth.
Hakika ni uzuni kubwa kwa mataifa...
Hayati Professor Winstanson J. P. Rutashoborwa, Babu kizaa babu, ni mtanzania, mwaka 1918 baada ya Wajerumani kushindwa vita, na kuiachia Tanganyika, aliondoka nao..akawa ameanzisha ukoo mwingine huko.
Mi na asili ya Tanzania.
Kukosea ni vibaya ila kutokuomba msamaha ni vibaya zaidi.
Napiga magoti mbele zenu watanzania wenzangu naombeni mnisamehe.
Sikufanya hivyo kwa makusudi sema nilisahau kuwa nchi ambayo babu yangu alizaliwa bado ni ulimwengu wa tatu.
Katika maisha yangu tangu nimezaliwa hapa Manhattan, NYC...
Siku zote mkataa kwao ni mtumwa. Najivunia kuwa mtanzania japokuwa maisha yangu mengi sijaishi Tz.
Jana nimeongea na mama, kaniambia michakato ya chanjo dhidi ya COVID19 ipo mbioni...jana hiyo hiyo kamati ya usalama wa familia yetu iliniambia nijiandae kwenda Tanzania kukamilisha ahadi zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.