:majani7:sisi wakina kapuku wadogo zetu wanapigwa tarehe kama za clinic. Dr Ndika na Lubengo acheni urasimu au LAW SCHOOL nayo imeshageuka kijiwe cha siasa?
Huyu mwanamke lazima atakuwa mlango wa nane mjini huita gundu/nuksi au mkosi sababu kila anayekuwa nae anakufa au anapata matatizo kama marehemu Barlow au jamaa aliyekamatwa Dar.
Habari wana JF? Naomba mwenye taarifa juu ya uteuzi mpya wa majaji wapya anijuze kwani sehemu nilipo sina access ya taarifa kamili. Nategemea ushirikiano wenu!
Matayo na Kilango kesho lazima wavue gamba wavae gwAnda hakuna kulala mpaka kieleweke!!! Halafu nackia uyo mwenye bar ya padeco ni gamba sugu MkUU naomba apelekewe GWANDA ili ajue saa ya UKOMBOZI ni SASA!
Mimi naona wale wadudu wake wameshaanza kupanda kichwani... Mtu makini hawezi kuropoka kama mtoto anayejifunza kuzumgumza!!! KAMA NIPIGE TAFU ZAKE ZIMEMUISHIA MWAMBIE aende TUMAINI AU St. BENARD WANAGAWA BURE!
Mimi nadhan tuiache mahakama ifanye kazi yake kabla hajapata hayo matatizo hatukuona hata mwanaharakati mmoja aliyejitokeza kumuonya huyo binti sanasana mlikuwa mnamshangilia na hata alivyohojiwa na katika kipindi cha eatv channel 5 na mtangazaji Salama Jabiri sote tulikubali na kuelewa kuwa...
Sasa Slaa ameingiaje humu??? Acha kuchanganya mada kama una taarifa yako anzisha thread yako kama hyna cha kuchangia ni vyema ukae kimya na usome za wenzako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.