Off course nilinyanduana nae kwenye Danger Day Japo nilimpa P2 Ila Kwa kuchelewa.
Na kuhusu kujiandaa au kutojijiandaa nahisi wewe mwenyewe mkuu unaelewa Hali halisi ya Mambo inavyokuwa Ila nimekubaliana na Hali nitaielea Tu.
Kuna Nguvu kubwa Sana Katika ulimwengu wa Rohini
Am Already for taking responsibility on that.
Siamini Sana Katika Kujiandaa katika Maisha Mambo mengine uja Hata kiuhalisia WA akili zako unaweza sema Haujajiandaa.
Wakuu.
Habari naomba Tupeane Mikasa ulifanyaje ulipompa Demu/binti mimba katika muda ambao haukujiaandaa.
Naona kitu kizito kimetua kichwani maana kuna Bo
Binti nimesababisha Tayari
Wakuu..
Sio Mpenzi wa kusikiliza Redio Ila Niko sehemu Fulani naisikilizia kipindi cha Temino.
Harris Kapiga Ana makelele Jamani.,Yaani Hampi Nafasi mgeni Rasmi Kuongea.
Sijui Shida nini na Huyo mtangazaji mwenzake ndo Pumba Kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.