Kwahiyo umekuja kumuongelea baba yako humu, au kiongozi aliyezenguka nchi nzima kuomba ridhaa kuongoza nchi?... Siku nyingine jaribu kutumia kichwa kufikiria
Sent using Jamii Forums mobile app
" Kama haujui unapokwenda.... Hauwezi kupotea " .... Nawapa moyo watanzania, kamwe hatuwezi potea maana hatujui tunapokwenda[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda uanze kwa kueleza maana ya UZALENDO nini? Labda hapo tutajenga hoja,... Maana kila mtu uwa anatafsiri yake ya ilo neno na hapo ndo tatizo linapoanzia
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajiita "Joka lenye makengeza", Andrew Chenge.... Msomi kutoka Havard... Huyu mwanasheria kaiingiza kingi sana serikali kwenye mikataba migumu, ambayo inatunyonya mpaka sasa... Noma sana huyu mtu
Niliwai soma sehemu imeandikwa kwa kiingereza " Huwezi kuwa adui, kwa kuongea ukweli" , lakini katika nchi yangu lazima uwe adui na kuonekana mpinzani kisa umeongea ukweli, au kujaribu kuonyesha au kuwafumbua watu kadha wa kadha katika mambo yafaayo. Tubadilike watanzania wenzangu, tutoke katika...
Tunaomba picha za kina Roma na wenzake wakiwa central.. la sivyo watakuwa wanatuchezea akili tu, .. Mi mpaka niwaone ndo ntaamini... la sivyo itakuwa kamchezo cha kutupunguza munkali wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.