Kosa alilolifanya Ni kumwambia( kuropoka) kwa Nini anaachana naye, angetafuta tu njia ya kuachana naye tu kiaina kwa ustaarabu bila binti kujua, Hata wazee wa zamani walikuwa wanafuatilia familia ya mtu mnaetaka Kuoana nae, Kama familia Ina changamoto walibadili maamuzi na ilisaidia Sana...
Jifunzeni wewe na mkeo kuongelea issue za mapenzi sio mnasubili MDA wa kulala mnaanza kuombana Bro, navyoona mkeo anachoka kweli kutokana na maelezo yako ya dakika 10 .kumi akiingia kitandani analala, .Ongeeni kirafiki bila kutumia nguvu kuhusu tendo la ndoa na kila mmoja wenu aeleze...
Wewe baba mwenyendoa nadhani unamjua mkeo vizuri, miaka 17 upiyoishi Naye unamjua ipasavyo, mkeo kutaka kutoka Mara mojamoja na wenzake sidhani Kama Ni Jambo baya mtu anayejiheshimu hawezi funga Safari ya kwenda kufanya umalaya..na ukisoma ushauri wa atu wengi humu unaona karibia wote wanawaza...
Hadanganyi hivyo vitabu vya wimpy kids nimevisoma versions zote, havina issue ya ushoga,,ila vilivyokaa vinazungumzia issue ya ukuaji na barehe openly.kwa hiyo kwa kusoma vinahitajika visomwe na mtoto ambaye amekwishajitambua na barehe tayari.labda vijana kuanzia form 2 kuendeleza.lakini Kama...
Mkeo angekuwa hafanyi kazi ungefanyaje?.. kwenye kunyimwa unyumba lazima Kuna chanzo,,inawezekana unamlazimisha ahudumie familia ..kuitwa mwanaume SI Lele mama bro.wanaume hatuvunji ndoa kizembe hivyo..
Huyu mtu sidhani Kama Kuna sehemu kasema yeye Ni Mkristu, matendo yake yote na ibada zake hazina hata chembe ya ukristu..inakuwaje watu wanamwita mkistu, pia wengi hapa wanasema anadanganya watu Mara ooh wako brain washed mnajuaje washirika
Yani waumini wake na yeye SI wa design moja...
Mwenye kuamini na aamini kwamba Yesu yupo na tunapata habari zake na uponyaji kupitia watu wake" kwa ushuhuda wangu nilipona ugonjwa niliougua kwa miaka mitano bila kupata Tiba sahihi hospitali, nilisikiliza mahubiri ya huyu baba, nikasali kupitia TV live siku nzima, nikapokea uponyaji wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.