Nakubali dar kuna jam sana kuliko mwanza lakini point yangu ni kwamba boda boda wengi wa dar nivijana wadogo hawapo makini na hawafati sheria za barabarani kulinganisha na mwanza boda boda wengi ni watu wazima wana majukumu. Ndio maana nikakuuliza kutoka kimara mpaka kibaha kuna jam gani? Kuna...
Mkuu unadhani huku mikoani jam hazipo? Kutoka kimara mpa mail moja kuna jam gani? Kuna sehemu inaua boda boda kama magari saba na kwa yusuph? Boda boda wa dar hawapo makini wengi ni bangi tuu na hawana majukumu.
Nimekaa dar miaka 8 ilikua haiwezi kupita siku bodaboda hajagongwa morogoro road kila siku ni vifo vya boda boda ila nilipokuja mikoani mfano jiji la mwanza nimekaa mda sana sinawahi kuona ajali ya boda boda hata siku moja kwanza ile kuovertake kijinga jinga na mispeed ya kipuuzi huku hamna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.