DUH..... proganda za kijinga ambazo zinatakiwa kuwekwa fb..........unapoeleza kuwa wananchi wa Lizaboni wakichagua upinzani kata yao itakuwa likizo unamaana gani zaidi ya kutia kichefuchefu na kuonyesha ni jinsi gani CCM imepoteza mwelekeo wanalizaboni tumeamuka na tunataka maendeleo na sio...
Lakini ikumbukwe kuwa SUGU lengo lake sio nyimbo zake zipingwe redio..........lengo lake wasanii watendewe haki kwa kulipwa malipo staili na kazi yao.Sasa angalia jinsi wachache walivyoshikilia soko la muziki ili waweze kufanya maamuzi yoyote wanayotaka juu ya huu tasnia ya mziki.Pia CLouds na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.