Mheshimiwa waziri anayaehusika, SSRA saidia kutatua changamoto za wafanyakazi ambao ni wanachama wa NSSF. Kuanzia mwaka 2016 nimekuwa nikiangaika kutafuta mafao yangu utoka NSSF bila mafanikio. Mwaka 2016-2017 niliambiwa sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Na.5 ya 2012 hairuhusu FAO LA KUJITO...
Mheshimiwa Zitto pole na yaliyokukuta. Chadema ni Chama cha Watu wa Kaskazini wewe ulikuwa umejichomeka bila kujua, pia hata wale waliotangaza kuwa umevuliwa uanacha (Tundi Lissu) hakujua alilolitenda maana hata yeye atafukuzwa siku zikifika isipokuwa kama baba au mama yake anatokea Mikoa ya...
Wapendwa wa Jamii Forums, naomba mnifahamishe kama wale waliomba nafasi za kazi za kufundisha UDOM yaani kazi za TUTORIAL ASSISTANTS,
LECTURERS, ASSOCIATE PROFESSORS NA PROFESSORS, je, wameishaitwa kwenye usaili au bado maana muda ni mrefu. Kazi zilitangazwa mwezi wa
Mei, 2011 na wakati wale...
Hata mimi niliaply, ila ninachotaka kuwambia marafiki zangu ni kwamba tuwe wavumilivu maana naamini bado hawajaajiri kwa nafasi zote zilizotangazwa yaani kuanzia zile za mwezi wa tano hadi zile za mwezi wa nane. Ila napenda kuwambia wahusika wa udom watoe tamko kuhusiana na suala hili maana muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.