Wanaopaswa kupongezwa ni Chadema kwa kuwa Sabodo atawapa fedha Chadema na hao cdm wangeamua kupeleka hivyo visima katika majimbo mengine ila kwa kuona jinsi wananchi wa Igunga wanavyopata tabu ya maji wakaamua kuwapelekea hivyo visima.
Tumia kichwa kufikiri na sio masaburi,huwezi kushindana...
Hapo umeongea pumba hakuna chochote cha ukweli,mimi nawashangaa sana,DC alikuwa katika majukumu yake,huwezi mzuia DC asikutane na watendaji wa vijiji au kata..NI vizuri kuwa waungwana kuomba radhi.
Hapo umeongea pumba hakuna chochote cha ukweli,mimi nawashangaa sana,DC alikuwa katika majukumu yake,huwezi mzuia DC asikutane na watendaji wa vijiji au kata..NI vizuri kuwa waungwana kuomba radhi.
Mimi mpenda mabadiliko Tanzania nimefuatilia uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Igunga na kuona jinsi kampeni zilivyokuwa.
Kumetokea matukio mbalimbali ya kukashifiana,kumwagiana tindikali,bastola mkutanoni,kufyatua risasi nk ambayo kwa namna moja ama nyingine yalitia dosari kampeni za uchaguzi huo...
Asante dada Regia kwa thread yako nzuri na kututegulia kitendawili.
kumbe FaizaFoxy ni mwanaume? Sasa ya nini kujivalisha hijab!? Yaani ni dume jike,lol ptuu! FF kazi unayoifanya humu JF ni ngumu na huwezi shinda nguvu ya umma..ptuu!
Asante dada Regia kwa thread yako nzuri na kututegulia kitendawili.
kumbe FaizaFoxy ni mwanaume? Sasa ya nini kujivalisha hijab? Yaani ni dume jike,lol ptuu! Kazi unayoifanya humu JF ni ngumu na huwezi shinda nguvu ya umma..ptuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.